johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Thanks mkuu, kumbe sometimes ubabe hausaidiiPeace mkuu.
Kua open minded na adventurous ni dawa pia, jaribuni vitu vipya, maeneo mapya n.k.

Thanks mkuu, kumbe sometimes ubabe hausaidiiPeace mkuu.
Kua open minded na adventurous ni dawa pia, jaribuni vitu vipya, maeneo mapya n.k.

Wahi tu hata mabao ya kisingo...Mimi si mwanandoa mkuu![]()
Enheee awahi mabao, maana kuandika kunaweza kukamcheleweshaHaha, kwamba awahi mabao
Aiseee!!!Mh kwani nyie mna ratiba...hii ni shughuli ya kila siku mzee. Mapumziko ni siku nne kwa mwezi, na wakati amejifungua
Kabisa kabisa.Thanks mkuu, kumbe sometimes ubabe hausaidii![]()
![]()
![]()
![]()
Akili yako isikutume kupangia watu maisha, mimi ni mwanandoa na Nina watoto watatu ndani ya ndoa yangu ya miaka mi 5, kufanya tendo la ndoa kila siku wala si kiashiria cha upendo labda kama mmeoana wote mkiwa wapenda ngono mkuu


Kama umezoea kudanganya sio kila Mtu anadanganya, kufanya tendo la ndoa kila siku haimaanishi kuwa utazalisha, kwanza ndio unajiingiza kwenye hali ya mwenzi wako kutoa sperm butu maana hapati muda wa kupumzika nyie kila siku mnalima mnalima hampumzishi mbegu wala shamba lenyewe, ni ukweli Nina watoto watatu mkubwa wao ana miaka 6 na hawa wadogo wawili wamepishana mwaka tu maana nilim bebea wakati nanyonyesha, kuna umuhimu mkubwa sana wa kupumzishana hasa wanawake lakini kwa kua wake zenu mmewageuza punda nyie mnapakia tu bila kujali punda Huyo yuko kwenye hali ganiMiaka 5 una watoto wa 3 halafu unasema use. Kila siku? Embu acha kutudanganya.![]()
Kama mawazo yako ndio haya basi mkeo ni mtumwa kwako,nampa pole sanaSex ndio jambo kuu (main) hayo mengine ni madogo sana (miner) ww jaribu kufanya hayo mengine acha hilo la msingi kama hujasambaratisha ndoa yako