Mwanampuna
Senior Member
- Jul 21, 2016
- 131
- 80
Kutiwa kila siku ni utumwa kwa mwanamke
Aiseeee mie km zimepanda hatariBestie ingekuwa papuchi inasoma mileage hahahahahaha
Watu wanaosex kwa huu mtindo hua wanakua na uhusiano wa kingono imara na wenye afya.Labda kama mumepanga single rum na vyumba vinatenganishwa na koridoo. Ila ngoma inapgwa kila kona, kona za Milango yote ya nyumba, sitting rum, kwa meza ya chakula uvunguni akpga deki, daha kila sehemu kuna mda na Siku yake.
Bonge la eksipiriensi....tena kwa watu wasiopeana tunda more frequently, wanandoa wanaongoza..teh teh!
Hongera sana.
Hivyo kwa miaka 8 umekua ukisex na shemeji kwa kasi ile ile?
Hujawahi kuchepuka?
Good sex huanzia katika excitement, mkeo unakosa hizo excitement!Baada ya kusex na mtu kwa muda mkubwa hutokea kitu kinaitwa sex rut yaani mwenza anakosa hamu ya tendo kwa mwenzake na kujikuta anafanya kwa kukamilisha ratiba.
Inaweza kuwakumba wote au mmoja kati ya hao.
Kinachopelekea hali hii ni kukaririwa kwa ratiba na kutokua dynamic kwenye tendo au hata eneo la kusex.
Naomba niseme kua Wanandoa hawawezi kusex kila siku milele itafika muda ile spark ya kwenye sex inapotea.
Hahahahaha vipi kama nikikwambia kua ule mchemsho wa mgahawani ndiyo unakufanya uendelee kuona wali maini wa nyumbani ni mtamu?Kasi ya kula wali maini nyumbani ni ile ile hata kama umekula mchemsho mgahawani
Ooops sorryWatakuwepo tu. About 2/3 years back, I used to freak with a certain Luo chick every damn night, she would leave my joystick on ice(literally).
Hapa ilibidi umquote ndugu Shonkoso. Post yako imeongezea pale ambapo yangu iliacha.Good sex huanzia katika excitement, mkeo unakosa hizo excitement!
ni kama tofauti ya mechi live na replay/recorded!
kwa kuwa hujui nini kitatokea unakuwa very excited, ila kwa wife huwa tunajua kila kitu naye anajua, so mzuka hauwi kivile!
Ila hii hupanda na kushuka, lkn spacing ya games pia husaidia kufanya tendo linoge kidogo!
kwa maana hiyohiyo si rahisi kula mzigo daily unless ktk miezi kadhaa ya mwanzo wa ndoa, lkn pia spacing inakuja automatically baada ya kila mtu kupunguza mzuka na mwenzie!
kwako nini shida yako?
umepunguza game au unadaiwa kila siku unaona kuumia!
Ooops sorry
Dahh mkuu umenigusa!!!! eti napewa kalenda siku hzi wakti mwanzo alikuwa anaanzisha yy match kila nikirudi kazini na kabla cjaenda kazini,,Baada ya kusex na mtu kwa muda mkubwa hutokea kitu kinaitwa sex rut yaani mwenza anakosa hamu ya tendo kwa mwenzake na kujikuta anafanya kwa kukamilisha ratiba.
Inaweza kuwakumba wote au mmoja kati ya hao.
Kinachopelekea hali hii ni kukaririwa kwa ratiba na kutokua dynamic kwenye tendo au hata eneo la kusex.
Naomba niseme kua Wanandoa hawawezi kusex kila siku milele itafika muda ile spark ya kwenye sex inapotea.