yajutu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 951
- 1,208
Mmh wiki nyie wazembeiwe kila siku imekua chakula hicho? Hata wiki inapita kavuuu bila lolote
Mmh wiki nyie wazembeiwe kila siku imekua chakula hicho? Hata wiki inapita kavuuu bila lolote
mmh! weweee calculatorTupo tena ikiwezekana ata asbhi before gym time na usiku
Mh kwani nyie mna ratiba...hii ni shughuli ya kila siku mzee. Mapumziko ni siku nne kwa mwezi, na wakati amejifungua
Hakuna raha kubwa duniani kama KULA na KUNYWAHakuna raha kubwa Duniani kama kukutanisha vikojoleo
Kunywa maji au vileoHakuna raha kubwa duniani kama KULA na KUNYWA
Wanavumilia tu mkuu ila kusema kweli wanakereka jaribu kufanya uchunguzi mkuu utaonaAngekuwa anakereka/hafurahii angerudi kwao vinginevyo Ana matatizo ya Akili ndio maama anang'ang'ania
Majibu tafadhari