Hivi kuna ulazima wa wakati Rais wa JMT anaapisha wateule wake hafla kuhudhuriwa na viongozi wakuu wote na wale wa vyombo vya dola?

Si lazima....

Ila ni utaratibu wa nchi yetu tu ambayo hufuata nchi za jumuiya ya madola......

Ikumbukwe NCHI YETU ni ya "kipekee" kuanzia UJAMAA WAKE WA KIAFRIKA mpaka MUUNGANO WAKE wa nchi mbili....

Yako Mambo ambayo si lazima kuyaiga kwa wengine na ambayo hutupa UPEKEE na UTULIVU wetu wa kupigiwa mfano......

Mfano marekani ,wale secretaries (mawaziri wao) baada ya kuteuliwa huapa na kuapishwa bungeni tena haihudhuriwi na wabunge wote(senates) bali wale wa kamati ihusuyo wizara hiyo...mfano;Kamati ya bunge ya Mambo ya nje hushuhudia uapisho wa WAZIRI WA MAMBO YA NJE......

#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
Nimekuelewa bwashee!
 
Nauliza tu maana utaratibu huu ulianza awamu ya 5 ambapo Rais wa JMT anapoapisha wateule wake viongozi wote wakuu wa serikali na wa vyombo vya dola lazima wanakuwepo.

Je, kuna ulazima wowote hawa viongozi kuhudhuria hata uapisho wa watu wadogo wadogo kama maDED na maDC?

Ni hilo tu.
Yule Mwendazake alikuwa anaogopa kupinduliwa ndiyo maana hata shughuli ndogo lazima CDF, DG TISS, IGP wawepo.

Pili alikuwa anataka kutishia wananchi kuonyesha kuwa hao watu wako chini yake, ukufanya nyodo wanakushughulikia
 
Nauliza tu maana utaratibu huu ulianza awamu ya 5 ambapo Rais wa JMT anapoapisha wateule wake viongozi wote wakuu wa serikali na wa vyombo vya dola lazima wanakuwepo.

Je, kuna ulazima wowote hawa viongozi kuhudhuria hata uapisho wa watu wadogo wadogo kama maDED na maDC?

Ni hilo tu.
Huu utaratibu uliletwa na yule dhalim
 
Nauliza tu maana utaratibu huu ulianza awamu ya 5 ambapo Rais wa JMT anapoapisha wateule wake viongozi wote wakuu wa serikali na wa vyombo vya dola lazima wanakuwepo.

Je, kuna ulazima wowote hawa viongozi kuhudhuria hata uapisho wa watu wadogo wadogo kama maDED na maDC?

Ni hilo tu.
Hii staili aliianzisha the late magu,huko nyuma haikuwepo
 
Nauliza tu maana utaratibu huu ulianza awamu ya 5 ambapo Rais wa JMT anapoapisha wateule wake viongozi wote wakuu wa serikali na wa vyombo vya dola lazima wanakuwepo.

Je, kuna ulazima wowote hawa viongozi kuhudhuria hata uapisho wa watu wadogo wadogo kama maDED na maDC?

Ni hilo tu.

How old are you ?
Jiwe akienda Chato kuzindika au zulula mtaani wote hao walikuwepo...mbona hukuuliza ?
Mama anawatoa nishai kwa kufanya kazi kwa akili, maarifa na kufuata ushauri wa wataalam mnaanza kuuliza maswali ya kitoto...
Mara sijui hana mvuto, hali mahindi barabarani au kujipa zawadi ya jogoo na usanii wa kishamba !!
Tuachieni Mama yetu apige kazi...atawanyoosha tuu
 
Ni kweli mataga wanatapatapa. Naomba ikiwezekana changia la kijasusi japo kidogo kujibu swali la je kuna ULAZIMA??

Lakini pia huu uzi na hii AKILI huyo umwitaye MATAGA kaukopi na kuuiga kwa mtu mmoja aliandika hii thread kule jamii intelligence

Ulikuwa kipofu wakati wa utawala wa Mwendazake? MATAGA mnatapatapa
 
Back
Top Bottom