Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Hiki ndicho Wabongo wasichooelewa. Na hawataelewa hadi siku watakapotoka Tanzania. Na kwa sababu hawatotoka, watakufa tu bila kuelewa. Watu wana hela kwenye nchi zilizoendelea lakini wanapanga mwanzo hadi mwisho.Cash ni muhimu sana ktk nchi zilizoendelea kuliko assets.
Ila marekani hali ni tofauti. Watu hawapendi kupanga maana mifumo ya kumiliki nyumba ni rahisi.