Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Wabongo sio hustler kabisa, sisi sio wapiganaji ndo maana ni nadra kusikia diaspora ni maarufu au kafanya kitu flaniKwa comments hizi tutaendele kushuhudia watu kama kina Obama wanatokea kwa Wenzetu.
West Africa, mtoto anachangiwa pesa ili azamie, akatafute maish sisi tunasema bora kwetu wakati Africa tunaijua na kwetu tunajua n tunaona palivyo.
Kwa ufupi fighting spirit ya Wabongo wengi nje ni ndogo, mmatumbi anataka kuiishi Paris kama mzungu lazima life likupige K.O
Mfano angalia kwenye wachezaji wengi kama wakina Saka, Tammy Abraham, giannis unaona kabisa hata diaspora wakibongo sio wapambanaji ni tatizo kubwa sana linaloisumbua jamii yetu