Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Katika watanzania 100 wanaoishi Ughaibuni na wanafanya Kazi nzuri hata hizo za kubeba mabox!!!...Ni Watanzania 5 Tu ndio wamerudi Nchi na tunaona wameweza kunyanyuka,wameweza kuishi maisha yao,sio tegemezi tena Kwa Ndugu,jamaa na Marafiki!!!..Kuna majamaa humu yana hasira nafikiri visa zilibuma au walipigwa deportation, sasa hasira zao wanazileta kwa sie tuliotulia huku...maisha ni haya haya tu... waliofeli baada ya kukaa ughaibuni ni kiherehere chao walitaka kuishi ughaibuni kama vile wako bongoland ikala kwao.Baelezee.kwiiikwiikwii