Haaaaa aiseee we kiboko 😂😂Mwenzio kakutana na watatu vimeo kahukumu jamii nzima!
Acha majungu and mind your own business, kila kona kuna waliopigika na kufanikiwa hakuna jipya hapoJoanah.
Tunasubiri Uzi wa house party sasa 😎Umepanic eeeh?RELAX
Unaonekana you are not doing well in life and not as successful or just low self-esteem, successful people don't trash talk less fortunate people, empathy and compassion kidogo tafadhariUmepanic eeeh?RELAX
🤣😂🤣. Dah, nimecheka sana na hii comment kama vile ni mazuri. Haya maisha haya!! Sasa mlimwuuliza wenziwe wa viatu alipeleka wapi?mmmh same same here, ndugu yangu 7 years huko alirudi na begi pia lina track suit moja na viatu vitatu kila kimoja hakina mwenzie 🤔
Mkuu usiilaumu degree yako, usicheze mbali na waliofanikiwa ..ukipata connection utatoboa na hakuna wa kukuliza hata hiyo degree yako.. !Sio wote wengine ndugu zetu waliokimbilia huko ndio wanatuokoa.
Bongo hii maisha ya kifala sana tena ukute unadegree ya sociology kama yangu bora ukimbilie tu huko ikabebe box
Majadala ufungwe ! 😀😀😀The diaspora is not monolithic.
If you associate with people who failed economically, that is a reflection of your poor judjement, small network and its poor reach.
We are out here making big moves.
Na siku hizi hata likizo tunaishia Turks and Caicos, au tukijq Bongo ni kifqmilia zaidi, kwa sababu ya umbeya wa wabongo.
Kama kuna lawama, laumu watu wako specifically, usipakazie diaspora.
Unasoma?Duuu! Sasa tutafanyaje mbona Mie nipo Ulaya Saizi. Ila connection na wadau kibao bongo, wameniaidi Kuwa siku nikirudi tu,watanipa Dili ya maama.
Point !Sasa Joannah kipi kimebadilika kutoka miaka hio ya 90 huko Europe na sasa watu hawa win tena wakienda?
Mimi naona uko peke yako unayeona ulaya ni pa kawaida, itisha hapo mkutano wa wanaotaka kwenda ulaya uone watakavyojaa maelfu!
Kisha usitudanganye watu wako better huko Tanzania, wakati familia nyingi hazipati milo mitatu and majority lives under 2 dollars per day...
Mwisho km wewe uko Dar usitufokee, jenga kwenu Chitoholi ,lol, ..sio wote wanokuja Dar,wanarudi vijijini wakiwa successful,the same as ulaya...kila mtu apambane na hali yake popote alipo!..lol
Ni nachokipenda wabongo mnaopitia msoto mnajuwa kujifariji sana..!Ulaya ni hapahapa tu.... as long as unajua kuzitafuta....
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
acha tu, yani hata kuuliza hauwezi🤣😂🤣. Dah, nimecheka sana na hii comment kama vile ni mazuri. Haya maisha haya!! Sasa mlimwuuliza wenziwe wa viatu alipeleka wapi?