Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

"Ukitaka kitu kizuri lazima uwe mzuri"
Wakikucheka kwako hiyo ni fursa ya kutokea
nacho maanisha watu wa namna hiyo huitumia fursa vizuri anapooana watu hawamsumbui sana anatumia muda mwingi kutengeneza future yake
den end of the day watu wakikuona ww ni potential watakufuata kipindi ambacho umekuwa very expensive


kna mdada ktk chuo flani sitakitaja
alikuw na sura ngumu wakaka wakawa hawamtak,wakimuona wanamcheka yni akawa anajifeel vibaya lkn hakujali sana akapambana kupiga kitabu wamegraduate na ndo amekuw mtu wa kwanza kupata ajira mshahara 1.2m per month,,wakaka waliokuw wanamcheka wapo tu mtaani wakaanza kutafuta namba yake kwa fujo hakuw na time na mtu tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hivi mtu unaanzaje kumcheka mtu eti mbaya
 
Urembo mwingine upo huku[emoji116]
1554385654007.jpeg
IMG-20190403-WA0013.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Umenifanya nikamkumbuka kaka mmoja tulisoma nae aisee ni mfupi kama piere alafuuu.... Ila ni kichwa hatari. Sijui hata yuko wapi siku hizi.
 
Inaelekea wanaume wa jf mnateseka sana na sisi, itabidi tuwe tunaweka picha zetu kwa profile na sura hizi za baba zetu na umri kabisa ili tuwarahisishie kazi.
unapata shida ya nini binamu.....?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom