Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

She was real cute, sema sikupata muda wa kumuuliza anasoma course gani.
ana bahati walau anacho cha kuringia. Wale wenzangu na mimi sura imegoma math nayo imegoma sijui inakuwaje
 
Naamini waliopo humu ndiye wale tunaopishana mitaani, tunapanda nao usafiri mbalimbali, sehemu za chakula, tunafanya nao kazi, wengine ni wateja wetu sehemu tunazofanya kazi...

Natamani nisingikize uzi huu kwa picha, ila alipo najuwa anajiandaa kuwa mke hivyo isingekuwa vyema mumewe amkute humu maana naamini wote watakuwepo humu.
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,

Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu

Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo

Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john

View attachment 1062770
Nataka kuwaona design hiiView attachment 1062771

Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walioko humu ndo walioko nje, kuna watu huku nje hawana kampani ya wanawake wazuri, most likely hata humu utakuwa na kampani kama hiyo.

NB: Uzuri pia unategemea na nini unakitaka kwa mwanamke.
 
ana bahati walau anacho cha kuringia. Wale wenzangu na mimi sura imegoma math nayo imegoma sijui inakuwaje

Kila mtu kuna jinsi ambavyo Mungu amempa kitu chake cha tofauti (competitive advantage).

Isipokuwa binadamu kwa macho yetu ndo tunaweka ubaguzi.

Lakini everyone is special and unique in his/her own way.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom