Kwani wewe ni mrembo? Sema hatutongozwi sanaHawatongozwi sana
Naunga mkonoInaelekea wanaume wa jf mnateseka sana na sisi, itabidi tuwe tunaweka picha zetu kwa profile na sura hizi za baba zetu na umri kabisa ili tuwarahisishie kazi.
Sema hiviSie wabaya wacha tuendelee kusoma comment
mambo roselina johnUwiiii kumbe mi mzuriii? Sijawahi ambiwa ati mi mremboo
Hahahahaha khaaa nmecheka kwa sautiSema hivi
"mimi Clkey ni mrembo, mzuri sana, najipenda, asante Mungu".
Sent using Jamii Forums mobile app
Kam p.. Mbu za mzee au sioHeheee umenikumbusha shule kuna shost alikuwa na akili ila uso kama ...
Very nice.Hahahahaha khaaa nmecheka kwa sauti
"Mimi Clkey ni mrembo, mzuri sana, najipenda, asante Mungu"
Sawa boss, sitakuangushaVery nice.
"sasa kila siku asubuhi, au ukitaka kutoka vile ukijiangalia kwenye kioo sema maneno hayo "mimi Clkey ni mrembo, mzuri sana, najipenda, asante Mungu".
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: Kwa mwanamke, msichana, mdada au bintie kukili udhaifu kuwa eti ni mbaya wakati umevaa Pete,au una mpenzi, mchumba, mume au bwana ni kumdhalilisha mwanaume wako so pls ladies tusidhalilishane.Sie wabaya wacha tuendelee kusoma comment
Stay tuned mkuu.
Kumbe kuona mwanamke mzuri ni bahati?Sijisifii sana, lakini nimekuwa moja ya watu wenye bahati ya kuona mwanamke mzuri humu JF.
I mean mzuri sana.
Kila siku nyuzi za kuulizia umri na uzuri wetu. Tuwarahisishie kazi tu.unapata shida ya nini binamu.....?



Kwani ukiwa mbaya ni kitu cha ajabu bwana???Kumdhalilisha ulo nae inaingiaje hapa???NB: Kwa mwanamke, msichana, mdada au bintie kukili udhaifu kuwa eti ni mbaya wakati umevaa Pete,au una mpenzi, mchumba, mume au bwana ni kumdhalilisha mwanaume wako so pls ladies tusidhalilishane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kuona mwanamke mzuri ni bahati?
Kufa kwa stress tz ni ujinga wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anajivunia kukupata mzuri wake, ukumbuke hiloKwani ukiwa mbaya ni kitu cha ajabu bwana???Kumdhalilisha ulo nae inaingiaje hapa???
Hahahaha hahahahah