Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,208
Haha
[/QUOTE
ni kweli mkuu uku wapo Wale kdogo ni intellectual wapenda kusoma na uandishi Hakuna kuweka picha kuumbuana hzo sura kama insta
Haha
[/QUOTE
ni kweli mkuu uku wapo Wale kdogo ni intellectual wapenda kusoma na uandishi Hakuna kuweka picha kuumbuana hzo sura kama insta
Kama babaakeHeheee umenikumbusha shule kuna shost alikuwa na akili ila uso kama ...
KabisaKama babaake
Nime malizia mkuu.
Kabisa



jamaniii, HahahaMungu akupi vyote na wala hakunyimi vyote.
Mti wenye matunda.
LabdaKumbe kutongozwa kunapunguza akili eeh?
umekutana na wangapJamii forum hakuna wanawake..
Oui Tout`umekutana na wangap
,hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili





