Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

jamaniii,

Ujue nin mkuu, binafs huwa naamini tunaishi kwa kuoneana huruma sana, unakuta mtu ni sura mbaya/sura ngumu, sura,ya kazi lkn saaasa kuna mtu anampenda, halali kwaajili yake, kila mda anamuwaza, anamjali, anamthamini mpaka naye haswaaa anajiona kama yupo nje ya hii dunia,, na huo ndio uhalisia wa neno mapenzi na maajabu yake.


Mungu fundi.
 
There are beautiful souls in here acha kabisa mkuu.
 
Sijui kwann yan mkuu inakua ivi
Maana ata mm nashangaaga unaweza ukasoma ata 5 usikutane na mtoto mzuri wa JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom