Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,977
Reaction score
45,840
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,

Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu

Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo

Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john

images (13).jpeg

Nataka kuwaona design hii
DW1LxaAX0AEDVPj.jpg


Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
 
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,

Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu

Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo

Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john


Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
Basi kama umeandika kwakuwa umelewa hakuna shida.
 
[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
 
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,

Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu

Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo

Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john


Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
Kuna group fulani linaitwa makapuku Kuna pisi kali kweli yaan [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa Mwanamke siyo Ulembooo ni tabiaaa siyo ule..... Ni tabia siyo ule mbooo ni tabia
 
[emoji23][emoji23][emoji23],hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Wanakuwa wametumwa na vijiji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom