Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
Haya nakujaOmbi limekubaliwa
Haya nakujaOmbi limekubaliwa
Mi mfupi banaLazima kwenye shindano la kumtafuta miss jf uingie tano bora! Nitafanya kila aina ya mbinu. Hakuna namna.
Bado hujapata jibu?,hivi kwa nini watu wenye sura ngumu wanakuwaga na akili?
NB: Sijasema wazuri hawana akili na wala sijamaanisha wenye sura ngumu wote wana akili
Za wapi







Tupooooo tena ni natural kweli kweli, no wigs no makeup na bado tunavutia hatareee
Imejipost
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu pole sana inaonekana wewe uko so sorrounded na wadada wabaya wabaya tu maanake umeshindwa hata kututumia picha za hapo ulipo au mazingira yanayofanana na mahali ulipoNi swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
View attachment 1062770
Nataka kuwaona design hiiView attachment 1062771
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
Uwiiii kumbe mi mzuriii? Sijawahi ambiwa ati mi mremboo
MONEY PENNY MENi swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
View attachment 1062770
Nataka kuwaona design hiiView attachment 1062771
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa



HahaWanawake wazuri wapo instagram ambao Wapo humu wengi ni sura za babazao
Sent using Jamii Forums mobile app