Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Hivi kuna Mwanamke Mrembo JF?

Kwasababu akili.ya darasan ndio kitu pekee ambacho kitampa confidence mbele za watu
Hivyo eeh? Kwani huwa wanaamua kuwa ngoja niwe na akili? Wengine wanakuwa na akili tangu chekechea shule ya msingi hata hajajitambua hali yake
 
britanicca hizi mada hazikupendezi ujue..tirudi kwa Ndugai.

hizi waachie kina@Ndege John
Hahaha

IMG-20190404-WA0080.jpg
 
Hivyo eeh? Kwani huwa wanaamua kuwa ngoja niwe na akili? Wengine wanakuwa na akili tangu chekechea shule ya msingi hata hajajitambua hali yake
Mungu hakupi vyote we una akili au sura?
 
Hivyo eeh? Kwani huwa wanaamua kuwa ngoja niwe na akili? Wengine wanakuwa na akili tangu chekechea shule ya msingi hata hajajitambua hali yake

Kuna Dada nilikutana naye NBC pale UDSM kavaa T-shirt imeandikwa Too Cute To Do Maths.
 
Nmeonana na wanawake kadhaa wa jf hasa wale wa ile segment ya @Loveconnect, aisee ni majanga. Wana akili sana lkn hawavutii kabisa.

Kama unaoa akili tafuta mchumba humu, kama unaangalia nyanja zingine kimbia haraka sana.
 
Nmeonana na wanawake kadhaa wa jf hasa wale wa ile segment ya @Loveconnect, aisee ni majanga. Wana akili sana lkn hawavutii kabisa.

Kama unaoa akili tafuta mchumba humu, kama unaangalia nyanja zingine kimbia haraka sana.

Ukute mwanamke wa jf anachambua wachezaji wa ligi hadi za saud arabia au anachambua zana za kivita yaani mabomu na mizinga yote anafahamu kwakweli hapo kimbia haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom