Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
Aiseee ni bongee la muvIpo, The pearl harbor.
Aiseee ni bongee la muvIpo, The pearl harbor.
Ndio hiyo hiyo Mkuu.........jaman hivi hiyo homeland ndo ile kuna mwanajeshi anarudi nyumbani baada ya miaka kadhaa ya kupotea? nimejaribu kuitazama mara kadhaa nashindwa kumaliza hata season 1. au ni nyingine tofauti na hiyo?
hahahahahahahahahahahaha uwii you made my day" Daddy is coming" By D. Bashite, hii ni kali sana...
![]()
Ha ha ha ha ha......kabisa Mkuu, ile movie ni shida, staring ameishi kibahati mpaka movie imeisha.Hiyo No escape ndio muvi kali zaidi duniani ambayo staring wake hajui kupigana...
Cheki The Kingsmen zipo mbili mpaka sasa ila ni movie inayoendelea kama The BourneKaka umemaliza. Binafsi spy movie ndio kitu napenda.
Nilivyogundua yule jamaa ni bwabwa tu basi hiyo movie nikaitoa thamani.
Naomba unitajie series za spy and intelligence nizitafute..Ha ha ha ha ha......kabisa Mkuu, ile movie ni shida, staring ameishi kibahati mpaka movie imeisha.
Mkuu wewe km mm nashangaa hata mm watu wanasema nzuri wakati mm hata kuangalia season moja naona shida.jaman hivi hiyo homeland ndo ile kuna mwanajeshi anarudi nyumbani baada ya miaka kadhaa ya kupotea? nimejaribu kuitazama mara kadhaa nashindwa kumaliza hata season 1. au ni nyingine tofauti na hiyo?
Kings man nimecheki zote. Ikiwamo hii mpya Kingsman: Golden ring.Cheki The Kingsmen zipo mbili mpaka sasa ila ni movie inayoendelea kama The Bourne
Yap jamaa wakali wanaweza kumpoteza 007 James Bond kama wakiendelea kukaza,Kings man nimecheki zote. Ikiwamo hii mpya Kingsman: Golden ring.
Hii Homeland ilinishinda. I am a movie/series adict hasa action na mambo ya upelelezi like 24Hrs, but Homeland ilinishinda series 1jaman hivi hiyo homeland ndo ile kuna mwanajeshi anarudi nyumbani baada ya miaka kadhaa ya kupotea? nimejaribu kuitazama mara kadhaa nashindwa kumaliza hata season 1. au ni nyingine tofauti na hiyo?
tupo pamoja nimeijaribu mara nyingi kupata huo ukali wanaousema nimeshindwa kabisaHii Homeland ilinishinda. I am a movie/series adict hasa action na mambo ya upelelezi like 24Hrs, but Homeland ilinishinda series 1
Lone survivor nitukio laukweli kbsa kbsaTears of the sun,lone survivor,border guard(hii amecheza vandame,sina uhakika kama jina lipo sahihi ),queen of the south(series ),
hiyo kwenye muvi za kivita naipa namba moia labda kwasabb sijaangalia nyingi za kivitaLone survivor nitukio laukweli kbsa kbsa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]" Daddy is coming" By D. Bashite, hii ni kali sana...
![]()
[emoji134] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahhahh! Aisee watu mnasifa hii inaitwa Mkubwa na Wanawe...Mungu wa Dar....." Daddy is coming" By D. Bashite, hii ni kali sana...
![]()