Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Sheikh wangu Abdallah Salehe Kombo ameoa kabisa hayo majini. Huwa na yanampatia pesa sana. Anapata na utamu bure. Ana enjoy sana kwa maelezo yake na pia huwa pesa kwake si shida.
Nilitaka angalau nisikie haya mambo sasa naelewa.Kwa imani yangu, majini ndiyo wa kwanza kuumbwa kabla binadamu na wameishi duniani miaka mingi kabla ya mtu. Uwepo wa wema ndiyo wapo na wala hawana muda na wewe na kujitokeza mbele yake, wao wana maisha na kufuata ya kwao. Ukiona jini anakuja kwenye maisha yao na kukwambia kitu fulani mara fanya hiki na kile, jua huyo si mwema hata kidogo ni miongoni mwa waovu.
Majini wapo sehemu mbalimbali hadi ya nyumba zetu tunazoishi, ndiyo maana kwenye dini yetu inaamriwa mabinti waache tabia ya kujiweka uchi ndani na kwenda kujiangalia kwenye kioo. Nao wanatamani kama wengine, na ndiyo mwanzo wa kuanza kuingiliwa na jini. Majini wa ndani ya nyumba huitwa Amirul bayt, na wengi wao wanakuja kuwa majini mahaba kutokana na tabia za dada zetu vyumbani.
Elewa jini mwema hana muda na wewe na hata kujitokeza kwenye maisha yako, wana mambo yao na familia zao
Hata miaka hii wapo wanao enjoy na majini ila vigezo na masharti kuzingatiwa, tatizo la majini hawana utu wala ubinadamu sababu sio binadamu.Swali halijajibiwa popote, nilijua kuna mtu anatoa ushuhuda kwamba anamubatua jini kwa sasa au aliwahi mubatua huko nyuma ndio ingekuwa mwafaka wa story.
Miaka ya nyuma nilikuwa nasoma kisa kwenye gazeti kuna jamaa alikuwa anaishi Temeke alikuwa analibatua na akawa amechoka hivyo anatafuta namna ya kuliacha.
Miaka ya hivi karibuni hizi story hazipo kabisa itakuwa watu hawana nguvu za kiume au vibamia sana majini yakaona yajifanye wao kwa wao
Mimi ninashawahi kuwa na uhusiano na jini Mahaba aka jini mwanamke kwa muda wa miaka 40 amenisumbuwa sana na kunitia nuksi nikawa siwezi kuwa na mke nikioa mke ninamuacha kazi ninafukuzwa watu wananisingizia eti mimi ni mchawi kila kibaya ninasingiziwa mimi. Watu wananichukia pasipo na sababu yoyote ile. Usirogwe ukiwa wewe ni Mwanamume ukapendwa na jini wa kike aka jini mahaba uko kwenye mtihani na balaa kubwa sana. Au usirogwe ukiwa ni Mwanamke ukapendwa na jini mahaba mwanamume ni hatari sana maisha yako yataharibika kabisa mwanamke hutoolewa na hutozaa maisha .Salaam wote!!....
Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui.
hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu.
Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi hawaonekani na huwa wapo kwenye mazingira yetu....ikumbukwe jini huweza kuwavaa hata binadamu bila yeye kujua.
Binafsi nilikuwa mazingira fulani ya shamba ambapo kuna ukimya na hakuna movement wala mimea mingi, basi nikanotisi harafu ya marashi makali sana ya kike hii ilitokea siku mbili zilizopita nyuma na jana tena yametokea.
Hivi Swali langu wakuu kwa nini Jini linapenda kufuata binadamu, kuna jamaa mmoja alisema ukiwa msafi sana jini huwa linatabia hizo, na pia ukiwa na mahusiano yanayosumbua afu jini likaamua kukupenda kuliko anayekusumbua pia hukufuata. (Ikumbukwe Kuna majini wazuri na wabaya).
Majini wengine wanabana au kuziba hadi riziki na wengine pia huwa na neema sema watakupa masharti.
Mawazo yenu wakuu hii hali inatokea sana.
Sasa mkuu ulifanyaje ukaondokana nalo mkuu, mimi inaonekana hili jini limenipenda kisa usafi wangu, yaani sitaki uchafu kabisa wa mwili wala ninapo lala.Mimi ninashawahi kuwa na uhusiano na jini Mahaba aka jini mwanamke kwa muda wa miaka 40 amenisumbuwa sana na kunitia nuksi nikawa siwezi kuwa na mke nikioa mke ninamuacha kazi ninafukuzwa watu wananisingizia eti mimi ni mchawi kila kibaya ninasingiziwa mimi. Watu wananichukia pasipo na sababu yoyote ile. Usirogwe ukiwa wewe ni Mwanamume ukapendwa na jini wa kike aka jini mahaba uko kwenye mtihani na balaa kubwa sana. Au usirogwe ukiwa ni Mwanamke ukapendwa na jini mahaba mwanamume ni hatari sana maisha yako yataharibika kabisa mwanamke hutoolewa na hutozaa maisha .
View attachment 2663895
Jini mahaba wa kike anaye itwa kwa jina hili (Succubus)
Kwa mujibu wa Qur'an.Mungu hakumuumba shetani, alimuumba lusifa lakini alipokuwa muasi akaitwa shetani
Shetani mwenyewe alikuwa malaika muasi lakini alikuwa na cheo kikubwa, majini na mapepo na miungu ya jamii fulani ni malaika wadogo×2 ambao walitupwa pamoja na lusifa wakati walipoasi... That's what I know according to the Bible, unaweza kuwa sahihi pengine according to the source of your understanding
🤣🤣🤣Nasubiri wataalamu wa majini na wale wa tiba za kisuna na wasoma visomo waje hapa watupe darasa kidogo.
Maana wengi hapa walokole afu sipati chemistry yoyote.
🤭Ulivyojibu sasaMbona wanicheka mapema yote hii 😁😁😁
Mkuu hapo inahitajika akili ndogo tuuPunyeto ndiyo zina madhara gani mkuu elezea nijue how does it connected na jini.