Hivi kuna mtu alishawahi kuwa na uhusiano na kiumbe jini

Sheikh wangu Abdallah Salehe Kombo ameoa kabisa hayo majini. Huwa na yanampatia pesa sana. Anapata na utamu bure. Ana enjoy sana kwa maelezo yake na pia huwa pesa kwake si shida.
 
Nliskia anaweza kukujia Kwa staili unayoipenda,Mfano kama wewe ni team big Tako,basi mtoto jini atakuja amenona😋,Je hili linaukweli wakuu?
 
Swali halijajibiwa popote, nilijua kuna mtu anatoa ushuhuda kwamba anamubatua jini kwa sasa au aliwahi mubatua huko nyuma ndio ingekuwa mwafaka wa story.

Miaka ya nyuma nilikuwa nasoma kisa kwenye gazeti kuna jamaa alikuwa anaishi Temeke alikuwa analibatua na akawa amechoka hivyo anatafuta namna ya kuliacha.
Miaka ya hivi karibuni hizi story hazipo kabisa itakuwa watu hawana nguvu za kiume au vibamia sana majini yakaona yajifanye wao kwa wao
 
Kwa imani yangu, majini ndiyo wa kwanza kuumbwa kabla binadamu na wameishi duniani miaka mingi kabla ya mtu. Uwepo wa wema ndiyo wapo na wala hawana muda na wewe na kujitokeza mbele yake, wao wana maisha na kufuata ya kwao. Ukiona jini anakuja kwenye maisha yao na kukwambia kitu fulani mara fanya hiki na kile, jua huyo si mwema hata kidogo ni miongoni mwa waovu.

Majini wapo sehemu mbalimbali hadi ya nyumba zetu tunazoishi, ndiyo maana kwenye dini yetu inaamriwa mabinti waache tabia ya kujiweka uchi ndani na kwenda kujiangalia kwenye kioo. Nao wanatamani kama wengine, na ndiyo mwanzo wa kuanza kuingiliwa na jini. Majini wa ndani ya nyumba huitwa Amirul bayt, na wengi wao wanakuja kuwa majini mahaba kutokana na tabia za dada zetu vyumbani.

Elewa jini mwema hana muda na wewe na hata kujitokeza kwenye maisha yako, wana mambo yao na familia zao
Nilitaka angalau nisikie haya mambo sasa naelewa.
 
Si Nasikia wanajua sana kuhonga?
😆 hapo ni mpaka ww ukanunue jini, ila jini halina uwezo wa kuja haraka haraka hivo labda iwe baba yako au uzao wako uliopita walilifuga halina mwangalizi tena, sasa latafuta wewe uwe mrithi.
 
Swali halijajibiwa popote, nilijua kuna mtu anatoa ushuhuda kwamba anamubatua jini kwa sasa au aliwahi mubatua huko nyuma ndio ingekuwa mwafaka wa story.

Miaka ya nyuma nilikuwa nasoma kisa kwenye gazeti kuna jamaa alikuwa anaishi Temeke alikuwa analibatua na akawa amechoka hivyo anatafuta namna ya kuliacha.
Miaka ya hivi karibuni hizi story hazipo kabisa itakuwa watu hawana nguvu za kiume au vibamia sana majini yakaona yajifanye wao kwa wao
Hata miaka hii wapo wanao enjoy na majini ila vigezo na masharti kuzingatiwa, tatizo la majini hawana utu wala ubinadamu sababu sio binadamu.
Wana act kama wanyama walivo wapo harsh kama ukienda ndivyo sivyo.
 
Salaam wote!!....

Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui.

hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu.

Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi hawaonekani na huwa wapo kwenye mazingira yetu....ikumbukwe jini huweza kuwavaa hata binadamu bila yeye kujua.

Binafsi nilikuwa mazingira fulani ya shamba ambapo kuna ukimya na hakuna movement wala mimea mingi, basi nikanotisi harafu ya marashi makali sana ya kike hii ilitokea siku mbili zilizopita nyuma na jana tena yametokea.

Hivi Swali langu wakuu kwa nini Jini linapenda kufuata binadamu, kuna jamaa mmoja alisema ukiwa msafi sana jini huwa linatabia hizo, na pia ukiwa na mahusiano yanayosumbua afu jini likaamua kukupenda kuliko anayekusumbua pia hukufuata. (Ikumbukwe Kuna majini wazuri na wabaya).

Majini wengine wanabana au kuziba hadi riziki na wengine pia huwa na neema sema watakupa masharti.

Mawazo yenu wakuu hii hali inatokea sana.
Mimi ninashawahi kuwa na uhusiano na jini Mahaba aka jini mwanamke kwa muda wa miaka 40 amenisumbuwa sana na kunitia nuksi nikawa siwezi kuwa na mke nikioa mke ninamuacha kazi ninafukuzwa watu wananisingizia eti mimi ni mchawi kila kibaya ninasingiziwa mimi. Watu wananichukia pasipo na sababu yoyote ile. Usirogwe ukiwa wewe ni Mwanamume ukapendwa na jini wa kike aka jini mahaba uko kwenye mtihani na balaa kubwa sana. Au usirogwe ukiwa ni Mwanamke ukapendwa na jini mahaba mwanamume ni hatari sana maisha yako yataharibika kabisa mwanamke hutoolewa na hutozaa maisha .
jını mahaba wa kıke.jpg

Jini mahaba wa kike anaye itwa kwa jina hili (Succubus)
 
Mimi ninashawahi kuwa na uhusiano na jini Mahaba aka jini mwanamke kwa muda wa miaka 40 amenisumbuwa sana na kunitia nuksi nikawa siwezi kuwa na mke nikioa mke ninamuacha kazi ninafukuzwa watu wananisingizia eti mimi ni mchawi kila kibaya ninasingiziwa mimi. Watu wananichukia pasipo na sababu yoyote ile. Usirogwe ukiwa wewe ni Mwanamume ukapendwa na jini wa kike aka jini mahaba uko kwenye mtihani na balaa kubwa sana. Au usirogwe ukiwa ni Mwanamke ukapendwa na jini mahaba mwanamume ni hatari sana maisha yako yataharibika kabisa mwanamke hutoolewa na hutozaa maisha .
View attachment 2663895
Jini mahaba wa kike anaye itwa kwa jina hili (Succubus)
Sasa mkuu ulifanyaje ukaondokana nalo mkuu, mimi inaonekana hili jini limenipenda kisa usafi wangu, yaani sitaki uchafu kabisa wa mwili wala ninapo lala.
 
Mungu hakumuumba shetani, alimuumba lusifa lakini alipokuwa muasi akaitwa shetani
Shetani mwenyewe alikuwa malaika muasi lakini alikuwa na cheo kikubwa, majini na mapepo na miungu ya jamii fulani ni malaika wadogo×2 ambao walitupwa pamoja na lusifa wakati walipoasi... That's what I know according to the Bible, unaweza kuwa sahihi pengine according to the source of your understanding
Kwa mujibu wa Qur'an.
Moja ya sifa kuu ya Malaika ni Kuto muasi M/Mungu na Wanafanya Walivyo amrishwa(Kutii).
Shetani ni miongoni mwa Majini na ndio maana aliasi (Hakutii).
 
Punyeto ndiyo zina madhara gani mkuu elezea nijue how does it connected na jini.
Mkuu hapo inahitajika akili ndogo tuu

Ngono ipo kufanywa na ME&KE physically sasa kama mmoja kati yao anafanya kitendo kinachoshabihiana na ngono bila mtu wa jinsia nyingine mpaka anafikia climax/kileleni basi kipo kitu/mtu/kiumbe anakuwa connected nacho sexually
 
Back
Top Bottom