The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,053
- 8,140
Salaam wote!
Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui.
hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu.
Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi hawaonekani na huwa wapo kwenye mazingira yetu. Ikumbukwe jini huweza kuwavaa hata binadamu bila yeye kujua.
Binafsi nilikuwa mazingira fulani ya shamba ambapo kuna ukimya na hakuna movement wala mimea mingi, basi nikanotisi harafu ya marashi makali sana ya kike hii ilitokea siku mbili zilizopita nyuma na jana tena yametokea.
Hivi Swali langu wakuu kwa nini Jini linapenda kufuata binadamu, kuna jamaa mmoja alisema ukiwa msafi sana jini huwa linatabia hizo, na pia ukiwa na mahusiano yanayosumbua afu jini likaamua kukupenda kuliko anayekusumbua pia hukufuata. (Ikumbukwe Kuna majini wazuri na wabaya).
Majini wengine wanabana au kuziba hadi riziki na wengine pia huwa na neema sema watakupa masharti.
Mawazo yenu wakuu hii hali inatokea sana.
Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui.
hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu.
Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi hawaonekani na huwa wapo kwenye mazingira yetu. Ikumbukwe jini huweza kuwavaa hata binadamu bila yeye kujua.
Binafsi nilikuwa mazingira fulani ya shamba ambapo kuna ukimya na hakuna movement wala mimea mingi, basi nikanotisi harafu ya marashi makali sana ya kike hii ilitokea siku mbili zilizopita nyuma na jana tena yametokea.
Hivi Swali langu wakuu kwa nini Jini linapenda kufuata binadamu, kuna jamaa mmoja alisema ukiwa msafi sana jini huwa linatabia hizo, na pia ukiwa na mahusiano yanayosumbua afu jini likaamua kukupenda kuliko anayekusumbua pia hukufuata. (Ikumbukwe Kuna majini wazuri na wabaya).
Majini wengine wanabana au kuziba hadi riziki na wengine pia huwa na neema sema watakupa masharti.
Mawazo yenu wakuu hii hali inatokea sana.