Watoto wa viongozi wanasoma Feza Ada tsh 12m
Watoto wa Matajiri wanasoma Hopac Ada tsh 48m
Watoto wa Wapiga kura wanasoma Kata Elimu bila ada
Uko sahihiElimu ni power (whatever it is). Japo wengine wanatumia jina la elimu (wanalazimisha pesa ndiyo iwe elimu), kwa lengo la kuhodhi mamlaka...
Kusomesha vizuri na kusomesha vibaya kupoje?Hakuna ubaya kwa wenye uwezo kusomesha watoto wao vizuri. Mzazi mwenye uwezo ana wajibu wa kusomesha wanae vizuri.
Tafuta pesa acha mbwembwe.......Kusomesha vizuri na kusomesha vibaya kupoje?
Umaanisha kwamba shule zisizotoza ada (serikali) zina elimu duni ma zile zunazotoza ada kubwa zina elimu bora?
Ningependa kujua upande wa pili, yani kusomesha vibaya. Halafu mimi, nita 'correlate' na hiyo video hapo juu.Hakuna ubaya kwa wenye uwezo kusomesha watoto wao vizuri. Mzazi mwenye uwezo ana wajibu wa kusomesha wanae vizuri.
Shule za kata ni kutuandaa sisi kuja kuwa walinzi na wauza barKatika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu ,hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule ?
Ndiyo maanake kwanini usomeshe kwa gharama kama shule za serikali kweli zinatoa elimu bora?Kusomesha vizuri na kusomesha vibaya kupoje?
Umaanisha kwamba shule zisizotoza ada (serikali) zina elimu duni ma zile zunazotoza ada kubwa zina elimu bora?
Kusomesha mtoto mahela mengi siyo ubora wa elimu ni ulimbukeni tu na kutaka kujenga social classes hakuna kingine. Ktk matokeo ya form six mwaka huu miongoni mwa shule kumi bora zipo shule za kata mfano Ziba Sekondari iliyoko Mkoa wa Tabora Wilaya ya Igunga, Dareda Sekondari iliyoko Mkoa wa Manyara Wilaya ya Babati.Katika pitapita zangu nimekutana na video ya Anthon Mtaka akizungumza kuhusu Elimu, hii hapa chini View attachment 2289897
Nikaona kaongea ukweli fulani ,Hivi wana JF ,mtu ambae hajawahi somesha mtoto shule ya serikali hasa ya kata anawezaje akawa na mipango ya maana kuhusu hizi shule?
InawezekanaKusomesha vizuri na kusomesha vibaya kupoje?
Umaanisha kwamba shule zisizotoza ada (serikali) zina elimu duni ma zile zunazotoza ada kubwa zina elimu bora?
πππShule za kata ni kutuandaa sisi kuja kuwa walinzi na wauza bar
Kwa sababu tumewaruhusu. Na vile wameshajua watz ni wa kudanganywa kidogo basi wameshawajuliaHahahah!!!!hawa jamaaa wataendelea kututawala milele
Tuendele kulipa kodi na tozo mbali mbali tu au siyoWatoto wa viongozi wanasoma Feza Ada tsh 12m
Watoto wa Matajiri wanasoma Hopac Ada tsh 48m
Watoto wa Wapiga kura wanasoma Kata Elimu bila ada
Hivi viongozi pesa wanatafuta vpTafuta pesa wacha kuleta wivu umaskini mbaya sana
Yesu alisema Dunia ni gizaTuendele kulipa kodi na tozo mbali mbali tu au siyo
Ova