Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
Jk yupo sahihi kabisa, mfano nakumbuka miaka ya mwanzo wa elfu mbili Mike tyson alikaribishwa kishujaa Uk ilui kukuza boxing. David Beckham ametumika marekani ili kukuza mpira na ligi yao.
haya mambo yanagharama sana na yanaitaji fedha, kama hayatapewa kipaumbele hayatakuwa ng'o....na ndo maana hata mlima kilimanjaro hatuutangazi katika channel za duniani kwa kuwa watu wanamawazo kama yenu ya kuwa ni gharama za kijinga.BADILIKENI.
haya mambo yanagharama sana na yanaitaji fedha, kama hayatapewa kipaumbele hayatakuwa ng'o....na ndo maana hata mlima kilimanjaro hatuutangazi katika channel za duniani kwa kuwa watu wanamawazo kama yenu ya kuwa ni gharama za kijinga.BADILIKENI.