Alonick Antony
Member
- Mar 18, 2012
- 58
- 5
swala la mapokezi kwa viongozi wakuu wote, ni itifaki ya kimataifa ambayo inazingatiwa na mataifa wote.. ulinzi anaopata Obama au Bush kwenye nchi za ulimwengu wa 3 sio sawa na anavyokwenda Urussi, au FRANCE, jerumani...unapewa ulinzi na wahusika, sio kama anavyokuja huku na lundo la walinzi..kumbuka hata hapa kwetu kuna wakati wanakuja maraisi JK anakuwa busy, anamtuma makuamu wa rais, au pinda kwenda kumpokea... tofauti na hapo lazima KIongozi au mwenyeji awepo air port kumpokea mwenzake. katika umoja wa mataifa, viongozii wakuu wa ncho wote wana hadhi sawa, haijalishi unatoka katika nchi ndogo au maskini kiasi gani. sema JK anakosa mapokezi mazuri, coz anaenda mno mara kwa mara, mpaka wamemchoka sasa
Hapo mwishoni nimepapenda!