Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Aiiii sio mimi kwakweli labda tumuulize cute b, mie yalinishinda nikabwaga manyanga, cute b akajibebea hana hata mwezi naye akabwaga manyanga, now yupo yupo tu anahaha tu humu jf hana A wala B.

Hahahaaaa Viol hana stress but anachangamsha watu.
Hahahaaa
 
Last edited by a moderator:
aah wapi!!! mkono wa waifu matirio lazima uwe na sugu kwa kusugua masufuria na kufua...huo mkono laini haujui hata kuosha kikombe.

Haaaaaaaaah!
Kaninunulie kadi ya AM SORRY! Unashona zigo huo mkono usipimeee!
 
Natangaza rasmi kuama kambi...nilidhani utani tu wa JF kumbe mnajuana hadi kitaani!!!
Mazungumzo ya mtu akiwa anonymous huwezi kutumia kuk judge
watu humu hujitoa ufahamu kama njia ya kupunguza stress za maisha
au kuburudika tu...

mimi nawajua watu humu wadada wana majibu hayo lakini in real life ni watu tofauti kabisa
so decent
 
Kwahiyo jana kumbe ulikuwa unanisanifu tu?......

Poa lakini.

Aaah...hapa nimejishikiza tu...wewe ukipokea maombi yangu utakuwa ndo njia kuu na Mokoyo atakuwa kidumu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom