Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Naona vita ya Me vs Ke inaanza tena. Mara hamna hubby material, hamna wife material. You guys are so funny! Are you looking for perfect husbands and wives?
 
Naona vita ya Me vs Ke inaanza tena. Mara hamna hubby material, hamna wife material. You guys are so funny! Are you looking for perfect husbands and wives?

Inategemea na wewe ukoje...mimi nishakutana na wanawake kupitia JF,niliokutana nao mimi wote cute,intelligent na wana kazi zao nzuri sana tu. Nafikiri wewe binafsi unavyojiweka ndio una attract aina fulani ya watu. Vile vile inabidi ujue kusoma between the lines kujua huyu wa aina gani. Habari za wanawake wa jf wanapenda pesa au wapiga mizinga mimi nazisoma kwenye thread tu ila niliokutana nao hawako hivyo.
 
Nadhani kupitia posts humu unaweza kumsoma mtu uwezo wake kichwani, tabia, na mazingira aliyo pia. Tones zao, lugha na maneno wanayotumia na wanapoyatumia, namna wanavyo-interact na watu, ni rahisi sana kujua yupi wa kumuepuka na yupi anajielewa. Ni kweli wapo wanaojitoa 'ufahamu' ili kuburudisha na kuburudika, ila bado class haijifichi.

Kuna wanawake wanaojielewa vizuri tu humu, ila ni wachache sana, sana. Vivyo hivyo kwa upande wa pili.

Big yesssss"
 
Hahahaaaaaaa!! Yaani huyu ex wangu sijui siku hizi ana stress gani!! We angalia tu aina za thread anazoanzisha kokote kule utagundua tu there is something wrong, amechakaaa hatari, we Viol kuwajibu tutawajibu tu, aina yenyewe ya wanaume ndio wewe alafu unategemea majibu ya aina gani?? Unapewa majibu kulingana na akili yako, hata mtoto hufundishwa kulingana na uwezo wake wa akili, cute b uko wapi jamani? Hebu njoo umfanyie dogo councelling.

Dogo kavurugwa si bure, nimemuomba hubby wangu Eli ampe semina kidogo amrudishe jandoni kuna kitu inaendelea kwa huyu kijana siyo mzuri kabisa,tuokoe jahazi kwa kweli......
 
Last edited by a moderator:
Naona vita ya Me vs Ke inaanza tena. Mara hamna hubby material, hamna wife material. You guys are so funny! Are you looking for perfect husbands and wives?

Wanataka kuishi malaika kwa malaika buana!!!
 
OLESAIDIMU nimesoma reply zako zote safi sana kwa majibu murua hakika Karucee anafaudu....lol
 
Last edited by a moderator:
Dogo kavurugwa si bure, nimemuomba hubby wangu Eli ampe semina kidogo amrudishe jandoni kuna kitu inaendelea kwa huyu kijana siyo mzuri kabisa,tuokoe jahazi kwa kweli......
Kuna kitu so bure, lakini tatizo la Viol tunalifanyia kazi..atanyooka tu hamna namna !!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaa!! Yaani huyu ex wangu sijui siku hizi ana stress gani!! We angalia tu aina za thread anazoanzisha kokote kule utagundua tu there is something wrong, amechakaaa hatari, we Viol kuwajibu tutawajibu tu, aina yenyewe ya wanaume ndio wewe alafu unategemea majibu ya aina gani?? Unapewa majibu kulingana na akili yako, hata mtoto hufundishwa kulingana na uwezo wake wa akili, cute b uko wapi jamani? Hebu njoo umfanyie dogo councelling.

Nashawishika kukubaliana na hoja yako huyu mdau kuna kitu kinamsumbuwa kichwani wala si bure maama ni jana tu nimemshikia bango mpaka kaondoa ile avatar ya kike.
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na wewe ukoje...mimi nishakutana na wanawake kupitia JF,niliokutana nao mimi wote cute,intelligent na wana kazi zao nzuri sana tu. Nafikiri wewe binafsi unavyojiweka ndio una attract aina fulani ya watu. Vile vile inabidi ujue kusoma between the lines kujua huyu wa aina gani. Habari za wanawake wa jf wanapenda pesa au wapiga mizinga mimi nazisoma kwenye thread tu ila niliokutana nao hawako hivyo.

Ni kweli niliokutana nao hawana shida ya pesa,wengi wao wana kazi zao,ila kasoro zao kuwa na watoto,kutelekezwa,kuachwa nk
 
sisi ndo tunaowapa majibu ambayo wanawake zenu wanayo vichwani mwao wanaogopa kuwaambieni. Huku tunawapa live!
 
Back
Top Bottom