Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Sikubaliani na kauli ya kusema kwamba wasichana wa jf hakuna wife material.humu watu wanajiachia coz they are anonymous and they are trying to release stress.lakini wengi wao humu hawafanyi au hawapractise wanachoongea jf.mfano mzuri ni the so called MISS CHAGA!the way she comments in jf is totally different frm the way she really is!
 
Hivi unapataje mke humu JF manake naona watu hata picha zao hawaeki.
 
Inategemea na MTU na MTU......sio wote wapo hivyo wengine humu n watu na heshima zao
 
Mleta mada namwonea huruma,maana hayo machambo atakayopewa humu!Wadada wa jf kiboko eti ohoooo.
 
Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume.

Wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bana hamna kitu.Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.

UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF

me sikubaliani na hilo,cause this is the home of great thinkers so people are free to post anythng they need so as to get great ideas from different people,hiyo haiingiliani na u-wife material coz hata hao wife materials wapo ambao mambo yao ya ndoa yakiwashinda wanaenda kuomba advice kwa mashost zake,and kuhusu inshu ya kutukana ujue kuna mtu mwingine unakuta kapost thread yake anahitaji ushauri kindly but utakuta kuna members wengine wanamjibu kwa matusi na kejeli, wat do u think? Kwamba mtoa post atavumilia 2 ayapokee matusi? Ndo hivo na yeye ni binadamu anaumia pia uvumilivu unamshinda ana reply back the same thing,remember No body is perfect,kama ilivo aliejibu hakutumia ustaarabu na yeye uzalendo utamshinda 2 atajibu ovyo!.
 
Nadhani kupitia posts humu unaweza kumsoma mtu uwezo wake kichwani, tabia, na mazingira aliyo pia. Tones zao, lugha na maneno wanayotumia na wanapoyatumia, namna wanavyo-interact na watu, ni rahisi sana kujua yupi wa kumuepuka na yupi anajielewa. Ni kweli wapo wanaojitoa 'ufahamu' ili kuburudisha na kuburudika, ila bado class haijifichi.

Kuna wanawake wanaojielewa vizuri tu humu, ila ni wachache sana, sana. Vivyo hivyo kwa upande wa pili.

Agreed by 100%
 
Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume.

Wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bana hamna kitu.Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.

UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF

kila mwanamke ni wife material ina depend ni material gan ww unataka
 
Back
Top Bottom