Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,559
Huyu dogo wiki hii kaanzisha mada hata hazieleweki ndo tunajaribu kujua nini kinamsibu.
Kwani we hujui kinachomsibu? Hivi vitoto vizazi vya BRN taabu tupu, kwani shule hazijafunguliwa jamani??
Huyu dogo wiki hii kaanzisha mada hata hazieleweki ndo tunajaribu kujua nini kinamsibu.
Huyu dogo wiki hii kaanzisha mada hata hazieleweki ndo tunajaribu kujua nini kinamsibu.
na mimi nishakuona we ni wife material kwa hii comment
Mazungumzo ya mtu akiwa anonymous huwezi kutumia kuk judge
watu humu hujitoa ufahamu kama njia ya kupunguza stress za maisha
au kuburudika tu...
mimi nawajua watu humu wadada wana majibu hayo lakini in real life ni watu tofauti kabisa
so decent
Ndio. Ukiwa na Pesa Utapata Mapenzi Ya Kweli.
We tokea unichimbe biti yaani sina hamu na wewe kabisa!!
Yaani mie hata naona huruma kwakweli, huyu mtoto sijui ana shida gani, eti wewe sio wife material?
Kiongozi, anzia hapo..au unataka gunia la misumari tukubebeshe..
Ну ты что! Вот девушка, давай не стисняйтесь!!
halafu mechi inaendelea man city na real madrid sijui unafuatilia
Hahahaaaaa!! Mie tu ndio nilikuwa namtosheleza, enzi zangu hakuhangaika ujue!!
Weee thubutuuuuu!!! Anataka akuchezeee tu.....
Aaaaaaaayaaa!
mi nataka hii
Mara mbili kwa mwaka wadhani nilikuwa natosheka kweli!!
Hahahaaaaa! Khaaaaa! Ulivyoniruka hata siamini, Kaizer umemficha wapi?