Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
My dear Elli amesema ameandaa mpango wa kumsaidia so tunasubiri tuone huo mpango.
For sure aiseee!! Lasivyo tunampoteza mtu huku tunashuhudia.
My dear Elli amesema ameandaa mpango wa kumsaidia so tunasubiri tuone huo mpango.
Heri mimi sijasema!
sikupendi siku hizi..My lovely ex do the needfull tafadhali.
Dogo kavurugwa si bure, nimemuomba hubby wangu Eli ampe semina kidogo amrudishe jandoni kuna kitu inaendelea kwa huyu kijana siyo mzuri kabisa,tuokoe jahazi kwa kweli......
sikupendi siku hizi..
Nna ugwadu afu we unaniangalia tyyyyHahahaaaa!! Wewe tena usinipenda!! Sema haki ya Eli!! Why hunipendi jamani?
Nna ugwadu afu we unaniangalia tyyyy
Naona vita ya Me vs Ke inaanza tena. Mara hamna hubby material, hamna wife material. You guys are so funny! Are you looking for perfect husbands and wives?
Kwakweli dada yangu kipenzi(enzi hizooo) jiunge uokoe jahazi.
Nikupm nini sasa?
Wewe ni husband material? Hujazaa,hujafikisha thirty,haujaachika?we sio makombo??nijibu hayo nikupm sasa iv tuone kama ni rahisi
Ni kweli niliokutana nao hawana shida ya pesa,wengi wao wana kazi zao,ila kasoro zao kuwa na watoto,kutelekezwa,kuachwa nk