Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Dogo kavurugwa si bure, nimemuomba hubby wangu Eli ampe semina kidogo amrudishe jandoni kuna kitu inaendelea kwa huyu kijana siyo mzuri kabisa,tuokoe jahazi kwa kweli......

Yaani la sivyo tunampoteza huyu jamani, maana hali ni tete haswaaa!! Okoa jahazi bwana, cute b umemfanya nn dogo?
Ila twende mbele na kurudi nyuma hivi unategemea Viol akutane na watu wa aina gani?? Read btn lines.
 
Last edited by a moderator:
Siwezi kuamini lazima hata1 linakuhusu,mwenyewe ndo unajua,kama haupo kwenye list naomba uni PM

Nikupm nini sasa?
Wewe ni husband material? Hujazaa,hujafikisha thirty,haujaachika?we sio makombo??nijibu hayo nikupm sasa iv tuone kama ni rahisi
 
Nashawishika kukubaliana na hoja yako huyu mdau kuna kitu kinamsumbuwa kichwani wala si bure maama ni jana tu nimemshikia bango mpaka kaondoa ile avatar ya kike.

Yaani kavurugwa hatari, am wandaz kwakweli!!! Au ile avartar yake ndio jinsia yake mkuuu!! Maana hii hali inatia mashaka haswaaaaa!
 
humu ndani wife material wamejaa tele acha nkuorodheshee wachache.Miss nuru,miss chaga,angelita,khantwe,lara 1 na wengineo wengi 2
 
Hebu shika adabu yako, kuwa na mtoto/watoto hii ni kasoro?
Uko sawasawa kichwani?

yaan! usiombe akili ichanike! maana utashindwa kupambanua mambo! hata 6 unaweza kudhani 9 kumbe umeinama! bora ichanike nguo utashona! kavurugwa anayeona mtoto kasoro!
 
O

Yaani la sivyo tunampoteza huyu jamani, maana hali ni tete haswaaa!! Okoa jahazi bwana, cute b umemfanya nn dogo?
Ila twende mbele na kurudi nyuma hivi unategemea Viol akutane na watu wa aina gani?? Read btn lines.

My dear Elli amesema ameandaa mpango wa kumsaidia so tunasubiri tuone huo mpango.
 
Last edited by a moderator:
yaan! usiombe akili ichanike! maana utashindwa kupambanua mambo! hata 6 unaweza kudhani 9 kumbe umeinama! bora ichanike nguo utashona! kavurugwa anayeona mtoto kasoro!

Kuna mijitu humu ni laanatul, watu wanakwenda hadi kwa waganga kutafuta baraka za kupata mtoto halafu anatokea kima mmoja eti anasema mtoto ni kasoro? I can't beleive my eyes kwakweli.
 
Haina formula hii kitu. . . . mkikutana mkaamua kila mmoja ajirekebishe mtaweza ila kila mtu akikomaa na "mi ndio nilivyo". . . . . hata mkienda kuishi mbinguni itachanika tu

Nimekupenda bure kwenye hii post
Viol I hope utakua umeelewa kitu,wanawake wa jf ndio hao hao wa mitaani
 
Last edited by a moderator:
Tukuulize wewe, labda ukalidailuti limbwata la Kitanga.

Aiiii sio mimi kwakweli labda tumuulize cute b, mie yalinishinda nikabwaga manyanga, cute b akajibebea hana hata mwezi naye akabwaga manyanga, now yupo yupo tu anahaha tu humu jf hana A wala B.
 
Last edited by a moderator:
Aiiii sio mimi kwakweli labda tumuulize cute b, mie yalinishinda nikabwaga manyanga, cute b akajibebea hana hata mwezi naye akabwaga manyanga, now yupo yupo tu anahaha tu humu jf hana A wala B.

Heri mimi sijasema!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mijitu humu ni laanatul, watu wanakwenda hadi kwa waganga kutafuta baraka za kupata mtoto halafu anatokea kima mmoja eti anasema mtoto ni kasoro? I can't beleive my eyes kwakweli.

Alikualika birthday yake? ilikuwa 1/4 alinialika sikwenda coz nilikosa zawadi ya kumpelekea!
 
Back
Top Bottom