Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Huku ndo kulikuwa nyumbani nikakupiga chini dah yaani acha tu ligi ianze tu maana tumekondaa......nilikuwa nakusalimia the husband material to be.....😀😀


Hahahaha Hus-what now? Dah! haya bana Ever-troll, najua nitakupatia wapi. Bora nyie mnaanza muda si mrefu, sisi bado tupo sana.
 
You can never tell one's real personality basing on their posts online.
 
Tunafahamiana tu ndani ya jf, kwa nje hatufahamiani

this is wonderful. ..!!! ila hii inanishangaza kwa kwel... anyway nili fuatiliaa comments zenu naona kwel kuna utofaut kidogo... ila yule nahis umri umesogeaa hiv..
 
this is wonderful. ..!!! ila hii inanishangaza kwa kwel... anyway nili fuatiliaa comments zenu naona kwel kuna utofaut kidogo... ila yule nahis umri umesogeaa hiv..
so long as ni watu wawili tofauti, basi lazima kutakuwa na Vitu tofauti kati yetu hata kama ni kimoja. Kuhusu umri wake sifahamu, labda kama utaweza ungejaribu kumuuliza
 
Koh koh koh koh!!!!! Mume au waume...loh!!samahani nilijua nakunong'oneza kumbe nimeskiwa na wengi....

Acha basi hizo yani hapa nilipo nina kadi 8 za kliniki za hawa watoto wawili ila please usiseme
 
Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu..

kujibu vibaya kivipi??


wengine tunaingia JF kubishana na watetea la mfumo dume. its a way to get the word out and change things. sasa kama mtu atatafsiri kuwa ni "nimekata tamaa"........whatever makes you feel better about yourself.

bila kusahau wengine wapole wapole hujui ndo wako mawindoni?? alete stress zake online akose mume? hahaaa
 
so long as ni watu wawili tofauti, basi lazima kutakuwa na Vitu tofauti kati yetu hata kama ni kimoja. Kuhusu umri wake sifahamu, labda kama utaweza ungejaribu kumuuliza

me nashukuru kufaham leo kwamba nyie n watu wawili tofaut kbsaaa..!! maana mlikuwa mnanichanganya..!! heaven sent n heaven earth. .!!
 
Embu tutake radhi mkuu
haya ni matusi na kashfa za wazi!!
Hapa ni kijiwe cha stori tu kupunguza uchovu mawazo na kujiburudisha.
Humu kuna wanawake na wanaume pia why umeshambulia wanawake pekee?? au wanaume humu ni husband material wote??
Jamani unakiuka haki zetu!!
umetukosea heshima!!
Umetunyanyasa!!
Kwahiyo tuondoke humu mbaki wenyewe midume si ndo ushoga utakua kwa kasi sana

umeongea vizuri kot mwishon umeharib kaz!
 
kujibu vibaya kivipi??


wengine tunaingia JF kubishana na watetea la mfumo dume. its a way to get the word out and change things. sasa kama mtu atatafsiri kuwa ni "nimekata tamaa"........whatever makes you feel better about yourself.

bila kusahau wengine wapole wapole hujui ndo wako mawindoni?? alete stress zake online akose mume? hahaaa
kwahiyo equality mnakuja kutafuta JF kutumia ID fake in reality mmeshindwa
 
Hakuna mke hapa JF,hapa utapata aliyezalishwa,aliyepewa talaka au aliyetelekezwa pia umri zaidi ya 30yrs,labda kama hata mwanaume unafanana na matukio haya,Jf ni used spares sio wife materials
 
Hakuna mke hapa JF,hapa utapata aliyezalishwa,aliyepewa talaka au aliyetelekezwa pia umri zaidi ya 30yrs,labda kama hata mwanaume unafanana na matukio haya,Jf ni used spares sio wife materials
ukweli mtupu
 
itakuwa kama ule uzi jamaa aliotaja majina ya wadada wenye midomo michafu. . .

Wengi wenu hamtaki kukosolewa...(kitabia)..mkikokosolewa tu mnajib vijibu vya ajab ajab sijui ni kwa nini et...
 
Back
Top Bottom