Mie nimepata wife humu na sasa nakula raha Tu! Sijawahi kujuta na hakika sintajuta! She is the best!
Shikamoo marejesho!
Aaaah kipindi kile nilikuwa namchuna tu shem wako nilishamuachia aende zake kwa mke wake
Mapanz hayaend bila pesa. utawasiliane kama huna pesa? Uta m-surprise mpenz aje kama huna pesa? Zawad huna pesa? Ukimtia mimba uta mtunzaje na kumuhudumiaje bila pesa? Hata condom upati bure. No money no mapenz.
sometimes na nyie mnatumia maneno mabaya we can't stand.
halafu wengi mnadhan wanawake wote hum tunataka mapenzi mnasahau ndio sisi sisi tupo wote maofisin tunapokea mshahara unalingana.
mie kama nakuona...ukishalizwa ndo unakuja kuyamwaga huku teh teh..ebu rudi kujiandikisha bvr..afu wa jf ndo hao hao unaishi nao kitaa..sasa ukiconclude hivo ujue na mtaani pia hakuna yf materials..violila wamejichanganya humo humo kujifanya wazinguaji
OLESAIDIMU nimesoma reply zako zote safi sana kwa majibu murua hakika Karucee anafaudu....lol
hivi mwisho wa kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni lini?
hivi mwisho wa kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni lini?
una mkono mzuri
mkono wa waif material huo!
Nimeona tatizo umeficha sura