Hahahaaa waambie unavyofaudu kuwa na waifu kama mimi
kumbe mimi kidumu sikujua
Hahahaaa waambie unavyofaudu kuwa na waifu kama mimi
Mie nakupenda ndio maana nakulinda
Kwahiyo siku hizi plan b ni muhimu?
Haya haina neno.
Wanawake wa humu wako desperate sana na maisha, wako obsessed na pesa. Wamekata tamaa ya maisha,wengi wametendwa huko wanamalizia hasira zao humu,wana excessive and extreme negativity na wanaume.
Wengi pia wanaonekana ni shapeless,polygons,hawana balanced body alinment. But wako poa for sex,wanaonekana wajuzi wa sex kwa hiyo najua for sex they wont let you down.
yaani mimi kidumu kweli? au sijui kusoma
kumbe mimi kidumu sikujua
kumbe mimi kidumu sikujua
Kama kichwa ndio ntu basi wewe una kiwiliwili tu.
Hahahaa kwa hiyo hapana mtu hapo
Wife material huwezi muona kwa macho ya kibinadamu,nikificha makucha utaingia chaka kuwa makini
Mazungumzo ya mtu akiwa anonymous huwezi kutumia kuk judge
watu humu hujitoa ufahamu kama njia ya kupunguza stress za maisha
au kuburudika tu...
mimi nawajua watu humu wadada wana majibu hayo lakini in real life ni watu tofauti kabisa
so decent
Kama kichwa ndio ntu basi wewe una kiwiliwili tu.
Hahahaaaaaa! Umenifanya nicheke bila kutarajia, here i am, haya tell me.
Mwalimu mie tayari niko nyang'anyang'a kwa kipenzi cha roho yangu Manga ML, yaani sisikii wala siambiliki.
Hahahaaaaaa! Umenifanya nicheke bila kutarajia, here i am, haya tell me.
huyo Manga ml anayekuchanganya itabidi nimfanyie mchakato wa kumsogeza kuleee alipo babu seya.. nikisha kutenga naye njia itakuwa nyeupe bila kizuizi
Umeanza!!.....hivi hujui kabisa kuwa kuchepuka ni hatari kwa usalama wa maisha yako???