inawezekana
Member
- Jul 17, 2009
- 29
- 3
Hebu jamani tuacheni mawazo potofu na kuwa gender sensitive kha! eti ohh mwanaume akila cone, kuna shida gani? tatizo munawaza madudu ya ajabu ndo maana kila jambo munarefer huko mie mume wangu anakula cone kama kawa na wala sijafikiria na katu sitafikiria upuuzi huo, TUBADILIKE