Hivi inakuwaje unatozwa kodi kiwanja na jengo?

Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani

Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji

Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli

Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa

Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu

Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa

Kilimo kwanza
 
Sasa gerezani watakulinda ukiamua Si unaenda kujimalizia tu
We acha tu....shida zote unarundikiwa ww kodi,dhulma., yakikushinda depression ni zako🤣🤣
Magonjwa ya akili yakikupata utajua utakavojitibu mwenyewe


Ukivua jezi uombe mapunziko (akhera)
Jaribio likikushinda kesi ya umetaka kujitoa uhai

Lengo kuu ufie uwanjani🤣🤣
 
Yote kwa yote mimi niko tayari kulipa hiyo kodi ya kiwanja,changamoto ipo kwenye kulipia hiyo kodi kupitia mtandao, unakataa, wahusika wanayo hiyo habari? Serikali inakosa hayo mapato wahusika shughulikia hilo tatizo.
 
Back
Top Bottom