Hakika ni utamaduni mzuri sana.Ipo sana tu...
Mi mwenyewe kila siku vijana wananipisha kwenye mwendokasi.
Utamaduni mzuri sana!
Kwani huko kwenu kuna wazee wanawapisha vijana siti kwenye nafasi za ajira..??🤔Hivi ile tabia ya vijana kupisha wazee siti kwenye vyombo vya usafiri huko kwenu bado ipo?
Hata mimi hauwezi kunipisha mkuu...🤨Inategemeana huyo mzee ana hali gani.
Akiwa hajiwezi nampisha ila hawa wazee vijana watasimama tu.
Thubutu....hata kwenye nafasi za uongozi wamegoma kutupisha.Kwani huko kwenu kuna wazee wanawapisha vijana siti kwenye nafasi za ajira..??🤔
Hauna adabu...🤨Kama ujana wako wote ulishndwa kuwekeza upate hata kaspasho,sikupishi siti mtaniua kwenye gari humo
Hatuwapishi nasisi...🤨Wakitupisha maofisini tutawapisha kwenye seat
😁😁😁Kuna siku nlipanda gar pale mnazi Moja baada ya mwendo kidogo tu Kuna mzee kapanda konda kaniomba nimpishe nikazuga simsikii watu wakaanza kuniangalia nikapisha mzee akakaa kufika msimbazi center akawa anataka kushuka akawa anaminvite mdada flan akae yy anashuka!Hivi ulishawahi kuwepo?
Manake hakuna mzee nimewahi kumpisha...labda akae nikishuka
Wao makazini mbna hawatupishiHivi ile tabia ya vijana kupisha wazee siti kwenye vyombo vya usafiri huko kwenu bado ipo?