X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,681
- 12,255
Ndugu zangu jana nilipata Ajari na pikipiki yangu nikiwa na abiria wangu {pole sana boss lady hope unendelea vizuri} ajari hiyo niliipata pale Sinza africa sana...kuna gari ilipoteza break ikagonga bajaji, bajaji ikapoteza uelekeo nikajikuta nagongana nayo uso kwa uso.😭😭😭
Ndugu zangu wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyo vimiliki kwasababu kama hainiingii akilini kuwa kama gari ina service nzuri Iferi break. jana nilikuwa nakichungulia kifo hivi hivi.
lakini namshukuru Mungu naendelea vizuri nilichubuka tu kidogo japo abiria wangu aliumia nae kidogo😭😭😭
hii imenifanya niiogope sana kazi yangu ya boda boda jana nimeiogopa sana pikipiki na barabara uendeshaji wangu ni wakistaarabu sana ila ndio hivyo bado nasababishiwa ajari...!
hata hivyo nimekumbuka kuwa huu ni mwisho wa mwaka matukio ya ajari huwa ni mengi...hivyo ndugu yangu msomaji kama huna umuhimu wa kusafiri ni bora tu ukae nyumbani hadi mwaka uishe...!
jana mwenzenu nilikichungulia kifo
Ndugu zangu wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyo vimiliki kwasababu kama hainiingii akilini kuwa kama gari ina service nzuri Iferi break. jana nilikuwa nakichungulia kifo hivi hivi.
lakini namshukuru Mungu naendelea vizuri nilichubuka tu kidogo japo abiria wangu aliumia nae kidogo😭😭😭
hii imenifanya niiogope sana kazi yangu ya boda boda jana nimeiogopa sana pikipiki na barabara uendeshaji wangu ni wakistaarabu sana ila ndio hivyo bado nasababishiwa ajari...!
hata hivyo nimekumbuka kuwa huu ni mwisho wa mwaka matukio ya ajari huwa ni mengi...hivyo ndugu yangu msomaji kama huna umuhimu wa kusafiri ni bora tu ukae nyumbani hadi mwaka uishe...!
jana mwenzenu nilikichungulia kifo