Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
Aiseee inasikitisha sana; utawala wa JIWE wafanyabishara wamenyanyasika sana, wameteseswa sana, wamefilisiwa sana na TASK FORCE.Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?
Duh huyu ndio Ole Sabaya mbona, imekuwaje anafanya uhalifu huu?
Shocking hakyamungu 😭😭
Ni moja ya makinia ya wahalifu wa chato empire.Duh huyu ndio Ole Sabaya mbona, imekuwaje anafanya uhalifu huu?
Shocking hakyamungu