Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,087
MKUU,Karibuni Wana zuoni, wachambuzi, Wanafalsafa, Wana saikolojia mniweke Sawa hapa nataka kuanza Choma chips baada ya kuona milango ya ajira migumu lakini nahisi najipeleka kwenye kada isiyo yangu na kutoitendea Haki my hanorable bachelor. Nawasilisha
Hahaha eti fundi baiskeliMKUU,
SIO TU KWENYE CHIPS,
HIYO SHAHADA YAKO INAFITI ANGLES NYINGI SANA,
KUANZIA KUUZA BAGIA, MAJI YA KANDORO HADI UFUNDI BAISKELI-
NI WEWE TU MWENYEWE UAMUE !!!
Nyie wasomi nyie eti malengo makubwa zaidi wakati huo hata faida huijui unawaza billionTatizo sio kuchoma chipsi,tatizo ni malengo uliyonayo hatua kwa hatua.anzia na chipsi kwenda kumiliki kitu kikubwa zaidi
shahada ndo nn!Karibuni Wana zuoni, wachambuzi, Wanafalsafa, Wana saikolojia mniweke Sawa hapa nataka kuanza Choma chips baada ya kuona milango ya ajira migumu lakini nahisi najipeleka kwenye kada isiyo yangu na kutoitendea Haki my hanorable bachelor. Nawasilisha
Kuna mtu kakuambia amewaza billion hapo,au ww unamsaidia kuwaza,kwani ukiambiwa malengo makubwa unafikiria nini cha kwanza akilini mwakoNyie wasomi nyie eti malengo makubwa zaidi wakati huo hata faida huijui unawaza billion
Kama unaweza kuishi kwa sababu ya Chips kwanini ukomae kwa cheti ambacho hakina msaada wowote kwako kwa sasa? Taaluma uliopata haikufanyi uwe VIP.
Kama umegundua chips inaweza kusogeza maisha yako kwanini uione kama kazi iliyo chini ya hadhi yako?
Fikiria kwa mara nyingine kipi bora kati ya pesa na hayo makaratasi ya sementi za Bamburi.
Haya endelea na business plan zakoKuna mtu kakuambia amewaza billion hapo,au ww unamsaidia kuwaza,kwani ukiambiwa malengo makubwa unafikiria nini cha kwanza akilini mwako
HV kwa mfano MTU amesomea uinjinia wa kutengeneza ndege,unahisi anaweza tumia hayo maarifa kuuza chips??? Sio kila kozi inafaa kujiajiri bhnMnazidi kunihakikishia kuwa shule mnazosoma zinawasomesha ujinga.
Hivi unasoma miaka yote ili uajiriwe tu?
Hiyo elimu yako kwanini usiitumie kwenye hizo "chips" ikakuletea mabadiliko wewe binafsi na biashara ya chips kwa ujumla wake?
Kwanini isifae?HV kwa mfano MTU amesomea uinjinia wa kutengeneza ndege,unahisi anaweza tumia hayo maarifa kuuza chips??? Sio kila kozi inafaa kujiajiri bhn
Kama umejiajiri usirudi darasani tena. First degree inatosha. Unabisha?Maisha ni popote mkuu
Anza na icho kidogo ulichonacho.
Mi mwenyewe O. leval nilipiga banda kama zote nilipata division 1 ya point 9 Uhuru secondary school shinyanga. Advance nilipiga kijiti kikali tena division 1 ya point 5 mwakaleli high school mbeya. Nikaenda jalalani pale udsm pumbavu zako profesa uchwara kwa kutushushia hadhi ya chuo chetu pendwa napo pale nimetoka na 4.3.
Lakini nipo kitaa na fanya kazi za ovyo na ajabu vyeti niliamua kuvipumzisha kabatini baada ya kuzungusha bahasha ya kaki pasipo na mafanikio.
na nina mshukuru mungu ridhiki sikosi
Na mwakani nampango wa kurudi darasani kuchukua shahada ya pili kuongeza elimu yangu ili maswala yangu haya niendelee ya Fanya kwa ufanisi na ubora wa hali ya juu.
👏👏Kama unaweza kuishi kwa sababu ya Chips kwanini ukomae kwa cheti ambacho hakina msaada wowote kwako kwa sasa? Taaluma uliopata haikufanyi uwe VIP.
Kama umegundua chips inaweza kusogeza maisha yako kwanini uione kama kazi iliyo chini ya hadhi yako?
Fikiria kwa mara nyingine kipi bora kati ya pesa na hayo makaratasi ya sementi za Bamburi.
Kwani Kuna degree yoyote ambayo inafundisha kuuza chips?Hayo ni maarifa ya kujiongeza tu huwez kuyapata shuleni.HV kwa mfano MTU amesomea uinjinia wa kutengeneza ndege,unahisi anaweza tumia hayo maarifa kuuza chips??? Sio kila kozi inafaa kujiajiri bhn
inategemea na malengo yako bro!Karibuni Wana zuoni, wachambuzi, Wanafalsafa, Wana saikolojia mniweke Sawa hapa nataka kuanza Choma chips baada ya kuona milango ya ajira migumu lakini nahisi najipeleka kwenye kada isiyo yangu na kutoitendea Haki my hanorable bachelor. Nawasilisha