Hivi hii ni sawaa?


Ndio ni sawa
, hivi unawezaje kuacha kumpa amani na furaha mzazi ambaye amehangaika sana kufika hapo ulipo?

Yaani kweli ukae umsikilize mwanamke ambaye mmekutana ukubwani tena pengine ulivyokwenda kumtongoza aliangalia kwanza future yako ndio akakubali! Vipi kuhusu huyu mzazi ambaye alikuwa radhi apigwe baridi usiku ili mtoto awe salama!
 
......./QUOTE]
ha haa hii inamaanisha kwako
Mke au wazaz wa mke n wa muhimu
Kuliko wazaz wako

Hii ya babu cjui bibi. Hii naona
Inategemea na makabila
Mila n destur zao
 
Umemaliza.
 
Ukilianglia haraka utasema ni haki, ila ukiliangalia kwa kina ni ngumu kumesa.

Why yupo hapo kwa muda wote huo na ana kwake alikoacha mumewe?
Haya mambo huwa magumu hivyo inahitaji busara kwa wooote(mkwe,mke na mume)
Ana kwake na ni pazuri tu kajengewa na wanae,pia ana mme wake ye anataka akae kwa wanae tu
 
Hili wengi hawalioni, wamekazania upande mmoja tu.
Wamekomaa kakuzaa miezi Tisa,I beg...I need a break. Yeye alimnyonyesha Hana meno Hata 15 mdomoni tunawanyonyesha now wanamimeno 34,mama walibeba wakati hawajazidi uzito hata kilo 50 now days wanafikia kuanzia 70 tena sio mgongoni vifuani. Aaghaa. Wamama wawege na heshima na nyumba za watu,tena Sana Sana ni wale wamama wasio elimika Hata elimu kidogo. Wengine wako wastaarabu Sana Hata hawapo hivo Yaani.
 
ha haa hii inamaanisha kwako
Mke au wazaz wa mke n wa muhimu
Kuliko wazaz wako

Hii ya babu cjui bibi. Hii naona
Inategemea na makabila
Mila n destur zao
That's why mwanzoni nilitanguliza mila zinatofautina.

Usser bwana haha.. sasa mzazi wangu kukaa kwangu ndiyo tafsiri ya mimi kumpenda kuliko binadamu yeyote duniani?

Hiyo text uliyoniqoute please ifuteee mkuu au ueidt ubakize dot dot...
 
Ni kweli kabisa, wengi wao hawapendi kuishi na ndugu wa mume. Loud and Clear.
Yaaah wanakuaga hvo
Na,wakileta ndugu zao sasa
Hawatok ukimwambia kuhusu
Hao ndugu zake hyo nyumba inawaka
Moto
 
Hivi weww utakaa kwa mwanao mwezi mzima? Utakuwa unafanya nini?
Kila mzazi na uelewa wake ila ikitokea mama wa mume kaja kwangu nitaishi nae kwa upendo na amani mpaka atakapochoka mwenyewe sitafunua mdomo wangu.
 

Huku kwetu hakuna masuala ya sahihi hadi kifo kitenganishe. Ukishindwa kuishi na Mamangu hakuna mkataba baina yangu mimi na wewe.
 
Hivi unajua wanawake wakikaa sehemu moja,naomba kama umeoa mlete mama ako akae na mkeo muda mrefu utaniambiaa,kuna vitu unaweza fanya ni kawaida tu halaf mama mkwe akaona umemtendea vibayaa
 
Kama mkwe mstaarabu, anayajua mipaka yake na anaheshimu nyumba ya mwanae,hawezi kukaa muda wote huo kwa mwanae na hawezi kuanza kuleta shida kwa ndoa ya mwanae.
Haya ameona mkwewe ana shida, si arudi kwake.
 

Akisema nimekuja kutembea utamuuliza atakaa muda gani?
 
Mimi bado sijaelewa sijui nawengine nikama mimi make unadai nikwa mwenga sasa huyo mwenga yuko kivyake namaanisha walisha achana na mwanae au?
Soma vizurii
 
Ni haki yake jmn hujui wanawe kawalea kwa shida gn. Sasa leo wamepata manufaa wanufaike wengne, looh me mwanangu akioa naenda kuhamia kabisa, shida nnayoipata Sasa kumtengenezea nice future naijua mm na ole wake uyo mkamwana alete vijineno atajuta...
 
That's why mwanzoni nilitanguliza mila zinatofautina.

Usser bwana haha.. sasa mzazi wangu kukaa kwangu ndiyo tafsiri ya mimi kumpenda kuliko binadamu yeyote duniani?

Hiyo text uliyoniqoute please ifuteee mkuu au ueidt ubakize dot dot...
Haa haa haya mkuu labda nlielewa vbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…