- Thread starter
- #61
Hawa nahic hawasikilizagi radio muda wote ila ikifika muda anatuma txt hata km yupo mbali na radio haiwezekani unamsikia radio free ukibadili clouds unamkuta ukibadili radio one unamkutaKuna mwingine Jina limenitoka yaan yeye akianza kuongea anasema Halo Halo Halo Halo Halo kwa sauti ya kukwaruza kwaruza utazani redio inapoteza frequency kumbe ni sauti ya mtu, pia kuna yule mama yupo Mkuranga Sheli ya Njano jina limenitoka pia kuna mwingine amevuma mpaka akachukuliwa kwenye kipindi Cha Radio kabisa Tena alianzia mtaani tu kuponda ponda kero sasa akachukuliwa km expert wa Mambo ya mtaani Clouds hao walimchukua anaitwa Zai