Ndio raha ya ushindi hiyo ! na ww kama vp jiunge nao tu. CDM mmewachukia wana igunga kwa vile wamewapotezea muda na pesa nyingi na hamkupata kitu. Jiunge nao kusheherekea.
Nenda kapate bia za bure kijana, ushindi wa CCM ni ushindi wa kila Mtanzania. Bangi zenu wala hazita simamisha sherehe za ushindi.
Kwa hiyo huyo tumuite Aunt Omr au Aunt Ommy?Mimi ni mwanaumme siyo malaya kama wewe unaehongwa bia na suti unaachia masaburi...
sijui maana yake nini.....Mchicha mwiba Crashwise ! ( unajua lakini maana ya mchicha mwiba ?)
Mmeanza kuikana ilani yenu hukumbuki Ilani yenu ya hospitali bure, cement bure, shule bure, kodi wananchi wasilipe, maji bure nk hii ilikuwa na maana hata wanaume ambao wako cdm wakioa wake zao watahudumiwa bure !
Uko sahihi kabisa hasa ukilisoma vizuri bandiko langu....Kwa hiyo huyo tumuite Aunt Omr au Aunt Ommy?
Tunawasubiri si kuna uchaguzi wa madiwa kata 4 walete masaburi yao...vijana wanaanda kadi zao tu...Kanda ya kaskazini ndio wasahau kabisa..
ndio raha ya ushindi hiyo ! Na ww kama vp jiunge nao tu. Cdm mmewachukia wana igunga kwa vile wamewapot
ezea muda na pesa nyingi na hamkupata kitu. Jiunge nao kusheherekea.
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowastrategy za nape hazina mwelekeo
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
Wana jm hivi hapa nilipo niko kwenye mkutano wa hiki chama cha mafisadi, nachoweza kusema ni kwamba wamechukua vikundi vya kina mama wazee wanaimba ngoma za vijembe na ku2kana CHADEMA 2. Kwa mtazamo wangu hiki chama kimefika mwisho wake, kwani walipita kila kata kutangaza huu mkutano wao na sisi ambao hatuna vyama tulidhani 2nakuja kuambia mambo ya maendeleo kwenye nchi ye2 ukizingatia sukari inapita hapa hapa mkoani kwe2 kwenda kenya kwa magendo na mahindi, sasa wao wamekali ku2onesha ngoma za zenye mipasho na vijembe kwa CHADEMA. Swali langu kwa wana jamii ni hili HIVI CHADEMA WAMEWAFANYA NINI CCM. Manake hawaongelei vyama vingine mbona kuna vyama vingi? Naombeni jibu. Nb. Hivi hawa wazee wanaoshabia siasa uchwara kama alivyosema LOST. Hawaoni mambo yalivyo kuwa magumu mimi binafsi kwa mchango wangu kwenye hizi siasa za umbea ningependa kuona huduma muhimu kama chakula ipande mara dufu ili watu wakome na siasa zao uchwara!! Haya ni maono yangu asante hadi sasa hawajaanza ku2eleza nini wame2itia hapa wao ni kutoa kikundi hiki weka kingine cha ngoma kwa lengo la ku2oa vijembe kwa chadema!!
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa