kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
Chadema wote ni mashoga2 mume wao ccm.
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
Nape huna cha kujivunia Igunga Mkuu manake hukuwa sehemu ya kampeni na wana ccj wenzako wote mlipigwa marufuku kukanyaga huko! Bora ukae kimya ule maana ni wakati wakokweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
MasaburiBrain, wanaIgunga kamwe hatuwezi kuwachukia tena tuna washukru kwa kazi walio ifanya hata nyie mnajua shughuli iliyofanyika hapo Igunga pamoja na kugawa pesa, kuchinja gome na kuwagawia, udini, kuwamwangia tindikali.....
kweli hazina mwelekeo na matokeo ya Igunga ni uthibitisho wa hilo, kweli magwanda yamelowa
Crashwise aka mchicha mwiba ( hilo jina tu linaonyesha ww si miongoni mwa wanaume marijali km sisi)
Nape unajua magwanda wanatumia nguvu nyingi na akili chache, ila ccm mnatumia akili nyingi na nguvu chache. Angalia magwanda walipeleka jeshi zima igunga wakaenda kutumia nguvu nyingi , ila ccm lilipeleka jeshi chache lenye akili na mbinu kali, na hilo ndilo jeshi bora !
nape umesema wanaigunga hawakujitokeza kupiga kura kwa sababu ya kuogopa kumwagiwa tindikali na cdm mbona takwimu zinaonesha mwaka wamejitokeza wengi kuliko mwaka jana ambapo cdm hawakugombea.kilichowafanya wajitokeze mwaka huu kwa wing ninini?
Wana jm hivi hapa nilipo niko kwenye mkutano wa hiki chama cha mafisadi, nachoweza kusema ni kwamba wamechukua vikundi vya kina mama wazee wanaimba ngoma za vijembe na ku2kana CHADEMA 2. Kwa mtazamo wangu hiki chama kimefika mwisho wake, kwani walipita kila kata kutangaza huu mkutano wao na sisi ambao hatuna vyama tulidhani 2nakuja kuambia mambo ya maendeleo kwenye nchi ye2 ukizingatia sukari inapita hapa hapa mkoani kwe2 kwenda kenya kwa magendo na mahindi, sasa wao wamekali ku2onesha ngoma za zenye mipasho na vijembe kwa CHADEMA. Swali langu kwa wana jamii ni hili HIVI CHADEMA WAMEWAFANYA NINI CCM. Manake hawaongelei vyama vingine mbona kuna vyama vingi? Naombeni jibu. Nb. Hivi hawa wazee wanaoshabia siasa uchwara kama alivyosema LOST. Hawaoni mambo yalivyo kuwa magumu mimi binafsi kwa mchango wangu kwenye hizi siasa za umbea ningependa kuona huduma muhimu kama chakula ipande mara dufu ili watu wakome na siasa zao uchwara!! Haya ni maono yangu asante hadi sasa hawajaanza ku2eleza nini wame2itia hapa wao ni kutoa kikundi hiki weka kingine cha ngoma kwa lengo la ku2oa vijembe kwa chadema!!