rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Tuliingia Morogoro juzi na tumekaa ni siku ya tatu lakini sijafurahishwa na jinsi watu wa Morogoro wanavyopenda kujisifu,maugomvi na hawapendi kabisa kuona mtu yeyote hasa asiye toka Morogoro aongee kitu mbele yao
Tumekaa Mbeya na Tunduma kama nilivyowaletea kisa cha mihela ya bwerere huko Tunduma mwishoni mwa mwaka jana
tukiwa Mbeya kwa takriban week tatu hatujawahi kugombana na mtu yeyote awe bar maid au dereva tax au mtu yeyote yule tuliyekutana mahali popote
kwa mtazamo wangu wa haraka haraka watu wa Mbeya wana akili sana na wana uwezo mkubwa sana wa kumsoma mtu,hilo wana Mbeya nawapa hongera ndio maana maendeleo kwenye mkoa wenu yanakuja kama mvua yaani speed ya ajabu
sasa tupo Morogoro ni siku ya tatu lakini tumeshagombana na watu mara nne??unaweza kuamini hilo??tumegundua watu wa marogoro wanapenda sana ugomvi,hata kama anafanya kazi mahali pa kutoa huduma na wewe ni mteja anaweza kugombana na wewe,,naomba kuuliza hawa watu wa morogoro ni watu wa aina gani??halafu wanakuwa kama hawajiamini,yaani ukiongea naye usipokuwa makini anaweza kusema umemdharau kumbe siyo,halafu wanakuwa kama hawapendi watu wanaotoka nje ya Morogoro??inawezekana hawa watu ni wabaguzi???jamani naombeni mnisaidie kwenye hilo,tupo hapa ni siku ya tatu lakini nawahimiza wenzangu tuondoke maana tunaogopa kugombana na watu
Tumekaa Mbeya na Tunduma kama nilivyowaletea kisa cha mihela ya bwerere huko Tunduma mwishoni mwa mwaka jana
tukiwa Mbeya kwa takriban week tatu hatujawahi kugombana na mtu yeyote awe bar maid au dereva tax au mtu yeyote yule tuliyekutana mahali popote
kwa mtazamo wangu wa haraka haraka watu wa Mbeya wana akili sana na wana uwezo mkubwa sana wa kumsoma mtu,hilo wana Mbeya nawapa hongera ndio maana maendeleo kwenye mkoa wenu yanakuja kama mvua yaani speed ya ajabu
sasa tupo Morogoro ni siku ya tatu lakini tumeshagombana na watu mara nne??unaweza kuamini hilo??tumegundua watu wa marogoro wanapenda sana ugomvi,hata kama anafanya kazi mahali pa kutoa huduma na wewe ni mteja anaweza kugombana na wewe,,naomba kuuliza hawa watu wa morogoro ni watu wa aina gani??halafu wanakuwa kama hawajiamini,yaani ukiongea naye usipokuwa makini anaweza kusema umemdharau kumbe siyo,halafu wanakuwa kama hawapendi watu wanaotoka nje ya Morogoro??inawezekana hawa watu ni wabaguzi???jamani naombeni mnisaidie kwenye hilo,tupo hapa ni siku ya tatu lakini nawahimiza wenzangu tuondoke maana tunaogopa kugombana na watu