GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
ushindi wa ccm ni ushindi wa mwizi kama ww.
Nenda uende na ukale huko huko kwenye sherehe kwani waonyesha una njaaa kali ww ! si nyie mwapenda vitu vya bure haya nendeni kwenye sherehe
ushindi wa ccm ni ushindi wa mwizi kama ww.
MasaburiBrain, una mzungumzia huyu alivyobinuka...angethubutu kwenda igunga ilikuwa mazima maana kazi kule ilikuwa nipevu na hivi yule mlinzi wake hayuko duniani...Nyie mlio amini mtatangazwa ndio maana viongozi wenu walizimia kule igunga ?
Akili za Nape hizo, yeye Moshi hakanyagi, au akifiki anatetemeka na kusema shikamoo tu kwa kila anayekutana naye!!CCM wamekosa hata uwezo wa kufikiri. Jimbo lipo Igunga then wao wanakuja kusherekea kwenye jimbo la CHADEMA ni kukosa akili.
yaani ulipo kosea ni kuweka jina langutu lakini kwingine uko vizuri MasaburibrainTunajua cdm mmechanganyikiwa na sio ww tu hata viongozi wako mpaka walizimia siku ya matokeo, unadhani kushinda ubunge mchezo ?. Na ww jiunge nao sheherekea nao na furahi jeshi imara la ccm lililokuwa na askari wachache wenye kutumia akili dhidi ya jeshi zima la ccm lenye kutumia Masaburi na nguvu akiwemo MasaburiCrashwise aka mchicha mwiba.
kiswahili cha somalia hichi!!!nenda uende na ukale huko huko kwenye sherehe kwani waonyesha una njaaa kali ww ! Si nyie mwapenda vitu vya bure haya nendeni kwenye sherehe
Kwani jimbo la CDM liko Kenya? nani kakosa akili sasa? Hao ni Watanzania wanaosherekea ushindi wa chama chao.
yaani ulipo kosea ni kuweka jina langutu lakini kwingine uko vizuri Masaburibrain
yani nyie mmekosa akili kampenitu mmetumia bln 3 av mnazidi kuaribu pesa za umma, kufanya masherehe yenu, hamna ata aibu kazi mnaweka matumbo mbeletu we inaonyesha unapenda sana vya bure, nyie ndo wale mnao pewa buku 2tu mna uza kura zenu angalia sana vya bure havi fai,
Naona sera zenu za mapesa zinafanya kazi hapaSera za bure bure ndio za cdm, kumbe hata hujui sera zenu? soma ilani yenu ya 2010 utajua !
weee koma sisi hatuna ilani ya kuwachakachua wananch.Sera za bure bure ndio za cdm, kumbe hata hujui sera zenu? soma ilani yenu ya 2010 utajua !
Kwani jimbo la CDM liko Kenya? nani kakosa akili sasa? Hao ni Watanzania wanaosherekea ushindi wa chama chao.
weee koma sisi hatuna ilani ya kuwachakachua wananch.
MasaburiBrain, una mzungumzia huyu alivyobinuka...angethubutu kwenda igunga ilikuwa mazima maana kazi kule ilikuwa nipevu na hivi yule mlinzi wake hayuko duniani...
Angeweza kuelezea kwa nini Igunga hali ipo hivi?? au angechekacheka tu halafu watu wampopoe au aanguke hata kabla hajapopolewaMtu Mkubwa km RAIS NA AMIRI JESHI MKUU aliona si busara kwenda igunga kwani hata kura msinge pata. Ameenda magufuli tu cdm mnalalamika ooooh serikali nzima imetumaliza . Upo hapo mchcha mwiba CRASHWISE
Nenda kapate bia za bure kijana, ushindi wa CCM ni ushindi wa kila Mtanzania. Bangi zenu wala hazita simamisha sherehe za ushindi.
Mimi ni mwanaumme siyo malaya kama wewe unaehongwa bia na suti unaachia masaburi...
Mimi ni mwanaumme siyo malaya kama wewe unaehongwa bia na suti unaachia masaburi...
Bogus kabisa sema alienda marekani kupiga picha na 50 cent acha kumumunya maneno.....anaukubwa gani kuhongwa suti na kuwaachia jaama wajenge kwenye bunga za wanyama na kuwaruhusu wachukua wachama zaidi ya 116 na wengine kujitangazia nchi ndani ya nchi yetu...au kushindwa kuwajibika na ufisadi wake pamoja na Lowasa, Chenge, Rostam n.kMtu Mkubwa km RAIS NA AMIRI JESHI MKUU aliona si busara kwenda igunga kwani hata kura msinge pata. Ameenda magufuli tu cdm mnalalamika ooooh serikali nzima imetumaliza . Upo hapo mchcha mwiba CRASHWISE