Hivi Gwajima na kelele zake zimeishia wapi?

Hivi Gwajima na kelele zake zimeishia wapi?

Gwajima ni mwanachama wa chama anachopambana nacho na huu ni wakati kuelekea uchaguzi.
 
Yaani huyu me nlitegemea ataamuru waumini kuingia barabarani tupate pa kuanzia, kumbe bureee kabisa.
Kawaangusha waumini kwakweli
Huyu si bure tu bali hovyo kabisa. Hata hivyo, tapeli angewezaje mambo kama haya wakati jimbo lake ni jitumbo lake?
 
mwenye kelele ni wewe unayetumia VPn kuleta ujinga wako wa CCm Moderator Toa hawa mbuzi ndani ya siku 90 wanakuja na VPN kuja kuleta uzi za ajabu futa uzi zao
Sijui kama unajua unachoandika. Kwanini hutaki kuheshimu uhuru wangu wa kujieleza na kuamini kile ninachotaka?
 
Gwajima ni mwanachama wa chama anachopambana nacho na huu ni wakati kuelekea uchaguzi.
Anapambana na chama ili iweje au apate nini wakati alishapoteza au ni kulipiza kisasa. Je chawa ataweza kumshinda chura?
 
Huu mchezo sio rahisi kueleweka na kila mtu,...ukiona kitu hukielewi,elewi...jua hakikuhusu wewe ama haujaandikiwa wewe!...kisome kama gazeti/kitazame kama tamthilia...then pita hivi!

Hii ni chase ya kikachero , hata makachero wanamnema mwali nyumba ya jirani bila kujua, siku wakijua wanacheza ngoma ya kumnema mwali wa jirani...muda utakuwa haupo tena...mwali tayari atakuwa uwanjani!...

Miluzi mingi itampoteza mbwa!...tumwachie mmoja kazi ya kupiga mluzi!
 
Huu mchezo sio rahisi kueleweka na kila mtu,...ukiona huelewi...jua haujaandikiwa wewe!...soma kama gazeti...then pita hivi!

Hii ni chase ya kikachero , hata makachero wanamnema mwali nyumba ya jirani bila kujua, siku wakijua wanacheza ngoma ya kumnema mwali wa jirani...muda utakuwa haupo tena...mwali tayari atakuwa uwanjani!...

Miluzi mingi itampoteza mbwa!...tumwachie mmoja kazi ya kupiga mluzi!
Umesoma uzi na kuuelewa vizuri kiasi cha kutoa madini. Congrats. Umeonge pwenti nyingi. Ubarikiwe. Jf inahitaji thinkers kama wewe.
 
CCM wamefungia JF cha ajabu unahangaika na VPN? Unapingana na chama chako?
 
Yaani huyu me nlitegemea ataamuru waumini kuingia barabarani tupate pa kuanzia, kumbe bureee kabisa.
Kawaangusha waumini kwakweli
Ile press yake ya mara ya mwisho niliona kabisa maji yamezidi unga 😹😹
 
Alipoanza kusema Mungu ataiingilia kati, hapo ndio nilianza kuilewa muvi ya kihindi....
 
Back
Top Bottom