Hivi Gwajima na kelele zake zimeishia wapi?

Hivi Gwajima na kelele zake zimeishia wapi?

Ile press yake ya mara ya mwisho niliona kabisa maji yamezidi unga 😹😹
Huyu ni changu na chawa wa kawaida aliyekuwa akijificha kwenye utapeli wa kuuza neno la Mungu kwa mazwazwa wenzake
 
Alitoa siku 10 kanisa lake lisipofunguliwa atafanya maamuzi magumu ila leo ni siku ya 24
 
Alitoa siku 10 kanisa lake lisipofunguliwa atafanya maamuzi magumu ila leo ni siku ya 24
Hana lolote nyaani huyu. Wanamjuackuliko anavyojijua, na weshamweka ndani na kumtumia watakavyo asijue japo alidhani angewatumia, wakaishia kumuingiza ndani
 
Back
Top Bottom