Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,559
- 860,707
Sasa ni wazi hakuna kinachofanyika kwa bahati mbaya ama kujua matokeo
Tuliambiwa na redio mbao kabla ya uchafuzi kwamba ushindi utakuwa asilimia 97+ tukadhani fix.. Kwa mshangao wa kushangaza ikawa kama ilivyosemwa
Kabla Pole pole hajapotea alisema timu ya maridhiano na wakuridhiana walishapangwa
Mwisho wa wiki hii ndani ya bunge la mchongo tukaambiwa maridhiano yanakuja.. Kelele zikawa nyingi sana mitandaoni.. Lakini trust me hakuna Kitakachobadilika.. Wanasema ni kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji
Tuwe tayari kuwashangaa watakaojifanya kushangaa kuchaguliwa kwenye timu ya kuridhiana...!
Wiki ijayo itawashangaza wengi..
Tuliambiwa na redio mbao kabla ya uchafuzi kwamba ushindi utakuwa asilimia 97+ tukadhani fix.. Kwa mshangao wa kushangaza ikawa kama ilivyosemwa
Kabla Pole pole hajapotea alisema timu ya maridhiano na wakuridhiana walishapangwa
Mwisho wa wiki hii ndani ya bunge la mchongo tukaambiwa maridhiano yanakuja.. Kelele zikawa nyingi sana mitandaoni.. Lakini trust me hakuna Kitakachobadilika.. Wanasema ni kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji
Tuwe tayari kuwashangaa watakaojifanya kushangaa kuchaguliwa kwenye timu ya kuridhiana...!
Wiki ijayo itawashangaza wengi..