Elections 2010 Hivi Dr Slaa alipitishwa lini na mkutano mkuu kugombea urais?

kama wangemudu gharama ingekuwa vizuri sana, kwani ni sehemu ya promotion na labda hata swali hili nililouliza lisingenisumbua!!! heri yangu nina mahali pa kuulizia, imagine wako wangapi wanaojiuliza swali kama hili kimyakimya???

Jibu rahisi ni kuwa hana mpinzani na watanzania wamemkubali, wewe unadhani kuzunguka Tanzania nzima kulikuwa na maana gani? ama unafikiri hao wajumbe wa mkutano mkuu wanatoka wapi kama si huko mikoani? ameshapitishwa period.
 
Ratiba ya Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2010

Bofyeni hapo mtaona ratiba nzima ya mchakato wa kuwateua wagombea uraisi, wabunge na madiwani
Hivi kweli JF kuna great thinkers, sometimes napata shida, mbona hatufatilii issue kwa kina tunaropoka ropoka tu, ah inaudhi bana kama kweli kuna forum ya watu makini hapa, au hii ni branch ya ccm?
 
Ratiba ya Chama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2010

Bofyeni hapo mtaona ratiba nzima ya mchakato wa kuwateua wagombea uraisi, wabunge na madiwani
Hivi kweli JF kuna great thinkers, sometimes napata shida, mbona hatufatilii issue kwa kina tunaropoka ropoka tu, ah inaudhi bana kama kweli kuna forum ya watu makini hapa, au hii ni branch ya ccm?

...........acha hizo ndugu yangu...............kuuliza si ujinga...............jibuni maswali basic.........itasaidia sana.....kuonyesha kuwa Chadema mko makini...............sitaki kukumbuka wakati ule wa uchaguzi ambapo Zitto alitaka kugombea Uenyekiti......na ile mizengwe ya uchaguzi wa Vijana.........tuwe responsible............tusikwepe maswali........wauliza maswali ndio wapiga kura wenyewe ........au?

asante kwa link...kwa wale amabo watashindwa kufungua hiyo link maelezo nikama ifuatavyo

RATIBA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2010

TUKIO TAREHE
1 Kuchukua na kurudisha fomu za kugombea Udiwani, Ubunge na Uwakilishi Mei 3 mpaka Agosti 9

2 Kura za Maoni kwa wagombea nafasi za Udiwani, Uwakilishi, Ubunge na Urais Juni 1 mpaka Agosti 1

3 Uteuzi wa Awali wa wagombea Udiwani (Kamati Tendaji za Kata) Julai 1 mpaka Agosti 1

4 Uteuzi wa Awali wa wagombea Ubunge na Uwakilishi (Kamati Tendaji za Majimbo) Agosti 2 mpaka Agosti 9

5 Uteuzi wa Awali wa wagombea Ubunge wa Viti Maalum (Halmashauri Kuu ya Baraza la Wanawake wa CHADEMA - BAWACHA) Agosti 8

6 Kuthibitisha Uteuzi wa wagombea Ubunge na Uwakilishi (Kamati Kuu) Agosti 10

7 Kupendekeza wagombea Urais na Makamu wa Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar (Baraza Kuu la Chama) Agosti 11

8 Uteuzi wa wagombea Urais na Makamu wa Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar na kuthibitisha Ilani ya Chama (Mkutano Mkuu) Agosti 12



Angalizo

  1. Tarehe za uchukuaji fomu kwa nafasi ya Urais zitatangazwa katika hatua ya baadaye.
  2. Kwa mujibu wa azimio la Mkutanao Mkuu wa chama 2005, Kamati Kuu ilipitisha mfumo wa kura za maoni (primaries) kabla ya vikao vya uteuzi wa awali na kuthibitisha uteuzi kufanyika kwa mujibu wa katiba. Kura za maoni za udiwani zitafanyika kwenye ngazi ya Tawi, za Ubunge kwenye eneo la Tarafa na za Urais kwenye ngazi ya Majimbo (Kanda). Maelekezo kuhusu namna kura husika zitakavyofanyika pamoja na wajumbe wataoshiriki yatatolewa kwa ngazi husika za chama.
  3. Majimbo yamepewa fursa ya kuandaa ratiba za maeneo husika kwa idhini ya Sekretariati kwa kuzingatia mipaka iliyotolewa.
  4. Kamati Kuu iliyofanya kikao chake tarehe 26, Aprili 2010 imeridhia ushirikiano wa kimkakati na vyama vingine vya upinzani na kuruhusu ushirikiano wa ngazi ya chini kama utakavyoainishwa na vikao vya juu vya chama. Pale ambapo pataonekana panafaa.


Makadirio ya Bajeti ya Uchaguzi Mkuu 2010
CHADEMA inakadiria kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 itatumia kiasi kisichozidi bilioni tano; kiwango ambacho kitahusisha kampeni zote za chama kwa ujumla wake kuanzia kwenye udiwani, ubunge na urais kwa matumizi yote ya uteuzi ndani ya chama pamoja na kampeni zenyewe.
Hata hivyo, Chama hakina kiasi hicho cha fedha na mikakati inaendelea kuandaliwa na kutekelezwa kwa ajili ya kukusanya fedha kwa wanachama na wapenzi.
 
Kwa mtazamo wangu Ogah tayari amekamilisha mjadala huu. Ungekuwa ubadhirifu kuitisha mkutano mkuu kupitisha mgombea mmoja wa kiti cha urais wakati kuna mkutano kama huo tarehe 12/08/2010. Na isingekuwa busara pia kama Dr. Slaa asingeanza kuzunguka kutafuta wadhamini hadi apitishwe na mkutano huo wakati ni mgombea pekee na anakubalika sana.
 
Na mimi pia ningependa kupata uhakika tu, ila nakumbuka kuona itv kwamba aliombwa, akakubali na akawa confirmed kama mgombea... Ila sijasikia mgombea mwenza ni nani...
 
jamani mbona mnazunguka mbuyu?
nimeuliza nieleweshwe. nisaidieni utaratibu wa chadema unasemaje na kama ulifuatwa sawasawa? basi sitaki zaidi.

Unataka ueleweshwe kusudi iweje? Hayo ni mambo ya chama chao, kama unataka ueleweshwe jiunge nao. Kama hawakufuata utaratibu wao ni wao wenyewe kwa wenyewe watakaolalamikiana, wewe hayakuhusu kwa vile siyo mwanchama. Jambo ambalo wewe lingekuhusu ni iwapo tu kwa kufanya hivyo walivunja sheria ya nchi au walikiuka katiba ya nchi.

Pilipili zilizoko shamba wewe zinakuwasha nini? mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe.
 
Unataka ueleweshwe kusudi iweje? Hayo ni mambo ya chama chao, kama unataka ueleweshwe jiunge nao. Kama hawakufuata utaratibu wao ni wao wenyewe kwa wenyewe watakaolalamikiana, wewe hayakuhusu kwa vile siyo mwanchama. Jambo ambalo wewe lingekuhusu ni iwapo tu kwa kufanya hivyo walivunja sheria ya nchi au walikiuka katiba ya nchi.

Pilipili zilizoko shamba wewe zinakuwasha nini? mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe.
mKUU, SAMAHANI... MIMI NAHESHIMU SANA MCHANGO WAKO NA SIKU ZOTE HUSOMA POST ZAKO... NAONA HILI KAMA SI JIBU ZURI

Mwamko wa politically naive young tanzanians, hasa waliokua waoga kwenye public system ni mkubwa saba, na CHADEMA ndio imevutia zaidi, nadhani ni vizuri kuweka mambo sawa bila ukali ili tusaidia kuongeza mwamko huu

fukuto la mabadiliko kuchochewa zaidi na taarifa sahihi katika wakati muafaka...
 
...........acha hizo ndugu yangu...............kuuliza si ujinga...............jibuni maswali basic.........itasaidia sana.....kuonyesha kuwa Chadema mko makini...............sitaki kukumbuka wakati ule wa uchaguzi ambapo Zitto alitaka kugombea Uenyekiti......na ile mizengwe ya uchaguzi wa Vijana.........tuwe responsible............tusikwepe maswali........wauliza maswali ndio wapiga kura wenyewe ........au?

asante kwa link...kwa wale amabo watashindwa kufungua hiyo link maelezo nikama ifuatavyo

RATIBA NA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2010

TUKIO TAREHE
1 Kuchukua na kurudisha fomu za kugombea Udiwani, Ubunge na Uwakilishi Mei 3 mpaka Agosti 9

2 Kura za Maoni kwa wagombea nafasi za Udiwani, Uwakilishi, Ubunge na Urais Juni 1 mpaka Agosti 1

3 Uteuzi wa Awali wa wagombea Udiwani (Kamati Tendaji za Kata) Julai 1 mpaka Agosti 1

4 Uteuzi wa Awali wa wagombea Ubunge na Uwakilishi (Kamati Tendaji za Majimbo) Agosti 2 mpaka Agosti 9

5 Uteuzi wa Awali wa wagombea Ubunge wa Viti Maalum (Halmashauri Kuu ya Baraza la Wanawake wa CHADEMA - BAWACHA) Agosti 8

6 Kuthibitisha Uteuzi wa wagombea Ubunge na Uwakilishi (Kamati Kuu) Agosti 10

7 Kupendekeza wagombea Urais na Makamu wa Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar (Baraza Kuu la Chama) Agosti 11

8 Uteuzi wa wagombea Urais na Makamu wa Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar na kuthibitisha Ilani ya Chama (Mkutano Mkuu) Agosti 12



Angalizo

  1. Tarehe za uchukuaji fomu kwa nafasi ya Urais zitatangazwa katika hatua ya baadaye.
  2. Kwa mujibu wa azimio la Mkutanao Mkuu wa chama 2005, Kamati Kuu ilipitisha mfumo wa kura za maoni (primaries) kabla ya vikao vya uteuzi wa awali na kuthibitisha uteuzi kufanyika kwa mujibu wa katiba. Kura za maoni za udiwani zitafanyika kwenye ngazi ya Tawi, za Ubunge kwenye eneo la Tarafa na za Urais kwenye ngazi ya Majimbo (Kanda). Maelekezo kuhusu namna kura husika zitakavyofanyika pamoja na wajumbe wataoshiriki yatatolewa kwa ngazi husika za chama.
  3. Majimbo yamepewa fursa ya kuandaa ratiba za maeneo husika kwa idhini ya Sekretariati kwa kuzingatia mipaka iliyotolewa.
  4. Kamati Kuu iliyofanya kikao chake tarehe 26, Aprili 2010 imeridhia ushirikiano wa kimkakati na vyama vingine vya upinzani na kuruhusu ushirikiano wa ngazi ya chini kama utakavyoainishwa na vikao vya juu vya chama. Pale ambapo pataonekana panafaa.


Makadirio ya Bajeti ya Uchaguzi Mkuu 2010
CHADEMA inakadiria kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 itatumia kiasi kisichozidi bilioni tano; kiwango ambacho kitahusisha kampeni zote za chama kwa ujumla wake kuanzia kwenye udiwani, ubunge na urais kwa matumizi yote ya uteuzi ndani ya chama pamoja na kampeni zenyewe.
Hata hivyo, Chama hakina kiasi hicho cha fedha na mikakati inaendelea kuandaliwa na kutekelezwa kwa ajili ya kukusanya fedha kwa wanachama na wapenzi.
Hapo kwenye nyekundu bado inaonyesha CHAMA kimekiuka. Km Slaa sasa hivi anaomba ridhaa kwa wananchi, mkutano mkuu unampitisha mgombea ambaye tayari anauhakika yeye ni mgombea? Huu mkutano unaonekana ni rubber stamp, hauna maana. Maana mtu anaform ya NEC lakini kwenye chama hajapitishwa. Inamaana chama kimoja kinaweza kupeleka hata wagombea wanne kuchukua form NEC then ndio ufuate mchujo wa CHAMA. Hivi angetokea mtu mwingine akasema na yeye anataka kugombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA ingekuwaje? AH SIASA!!!!
 
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!

nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo....


7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:-
(a) .............
(b) ........
(c) Kuteua mgombea wa Uraisi na mgombea wenza wake kwa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na mgombea Urais wa Zanzibar.


7.7.13 Kazi za Baraza Kuu zitakuwa:-
(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika
mkutano mkuu kwa uamuzi.

7.7.16 Kazi za Kamati Kuu zitakuwa:-
(a) Kufanya utafiti wa wagombea na wa Uraisi na Mgombea Mwenza na kuwasilisha
ripoti zake kwa Baraza kuu kwa ajili ya mapendekezo yake kwa Mkutano Mkuu.



1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?

msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!
kapitishwa jana mchana wa saa nane!!! una lingine????
 
Jibu rahisi ni kuwa hana mpinzani na watanzania wamemkubali, wewe unadhani kuzunguka Tanzania nzima kulikuwa na maana gani? ama unafikiri hao wajumbe wa mkutano mkuu wanatoka wapi kama si huko mikoani? ameshapitishwa period.[/QUOTE]

Kha! Huko chadema huko,,,yetu macho.
 
Unataka ueleweshwe kusudi iweje? Hayo ni mambo ya chama chao, kama unataka ueleweshwe jiunge nao. Kama hawakufuata utaratibu wao ni wao wenyewe kwa wenyewe watakaolalamikiana, wewe hayakuhusu kwa vile siyo mwanchama. Jambo ambalo wewe lingekuhusu ni iwapo tu kwa kufanya hivyo walivunja sheria ya nchi au walikiuka katiba ya nchi.

Pilipili zilizoko shamba wewe zinakuwasha nini? mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe.

YaaaaaaaaaaaaaaaP! Mambo yameanza. Muda kidogo tu.
 
Guys, what is behind the scene?
Utawala bora kwenye nchi zetu ni shida saana. Kila mtu anakuwa dikteta kiaina yake. Na ukiwa mfuasi au muumini ni kazi saana kufanya objective analysis. Tusubiri na tutasikia mengi saana.
 
Back
Top Bottom