Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!
nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo....
7.7.16 Kazi za Kamati Kuu zitakuwa:-
(a) Kufanya utafiti wa wagombea na wa Uraisi na Mgombea Mwenza na kuwasilisha
ripoti zake kwa Baraza kuu kwa ajili ya mapendekezo yake kwa Mkutano Mkuu.
1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?
msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!
nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo....
7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:-
(a) .............
(b) ........
(c) Kuteua mgombea wa Uraisi na mgombea wenza wake kwa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na mgombea Urais wa Zanzibar.(a) .............
(b) ........
(c) Kuteua mgombea wa Uraisi na mgombea wenza wake kwa Jamhuri ya Muungano
7.7.13 Kazi za Baraza Kuu zitakuwa:-
(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika
mkutano mkuu kwa uamuzi.(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika
7.7.16 Kazi za Kamati Kuu zitakuwa:-
(a) Kufanya utafiti wa wagombea na wa Uraisi na Mgombea Mwenza na kuwasilisha
ripoti zake kwa Baraza kuu kwa ajili ya mapendekezo yake kwa Mkutano Mkuu.
1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?
msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!