Elections 2010 Hivi Dr Slaa alipitishwa lini na mkutano mkuu kugombea urais?

Akili Kichwani

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,508
216
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!

nimefuatilia nimeona kama ifuatavyo....


7.7.10 Kazi za Mkutano Mkuu wa Taifa ni:-
(a) .............
(b) ........
(c) Kuteua mgombea wa Uraisi na mgombea wenza wake kwa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na mgombea Urais wa Zanzibar.


7.7.13 Kazi za Baraza Kuu zitakuwa:-
(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika
mkutano mkuu kwa uamuzi.

7.7.16 Kazi za Kamati Kuu zitakuwa:-
(a) Kufanya utafiti wa wagombea na wa Uraisi na Mgombea Mwenza na kuwasilisha
ripoti zake kwa Baraza kuu kwa ajili ya mapendekezo yake kwa Mkutano Mkuu.



1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?

msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!
 
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!

1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?

msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!

Ndugu,
Kwa kukusaidia si vyama vyote vina mfumo kama CCM....alipitishwa kwa mujibu wa CHADEMA
 
kama TBC hawataki kuonesha live huwezi kuona, umafya unaofanywa na ccm kwa chadema inacheza na karata yenye shibe,


Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
nimesikia habari kuwa dr slaa leo anachukua fomu za urais toka NEC!!

1. hiv ni lini mkutano mkuu wa chadema ulimpitisha kugombea urais wa JMT kupitia chadema?
2. kama hakupitishwa na mkutano mkuu, katiba ya chadema inaruhusu hili?
3. kama katiba inaruhusu, nini hatima ya demokrasia ndani ya chama hiki?

msaada tafadhari, manake mi sikuusikia mkutano mkuu wa chadema!!!

Mwisho utauuliza kuwa Hadija kopa wa chadema ni nani?
 
jamani mbona mnazunguka mbuyu?
nimeuliza nieleweshwe. nisaidieni utaratibu wa chadema unasemaje na kama ulifuatwa sawasawa? basi sitaki zaidi.
 
naomba kipengele cha katiba ya chadema kinachohusika nifuatilie, manake mwaka 2005 niliona mbowe alipitshwa kwa utaratibu tofauti na wa mwaka huu uliompitisha dr slaa!!1

Huu sio mwaka 2005 ndugu....mwaka 1980 CCM walifanyaje kumteua mwalimu?...mkutano mkuu pia?
 
Sio wote wenye pesa za kujitangaza kifisadi kama ccm

Kama umesikia hivyo ndo imetoka, ulitaka wafanye kama CCM kurusha live tv zote??

kama wangemudu gharama ingekuwa vizuri sana, kwani ni sehemu ya promotion na labda hata swali hili nililouliza lisingenisumbua!!! heri yangu nina mahali pa kuulizia, imagine wako wangapi wanaojiuliza swali kama hili kimyakimya???
 
jamani mbona mnazunguka mbuyu?
nimeuliza nieleweshwe. nisaidieni utaratibu wa chadema unasemaje na kama ulifuatwa sawasawa? basi sitaki zaidi.

Katiba ya ccm na chadema ni sawa???

kama wangemudu gharama ingekuwa vizuri sana, kwani ni sehemu ya promotion na labda hata swali hili nililouliza lisingenisumbua!!! heri yangu nina mahali pa kuulizia, imagine wako wangapi wanaojiuliza swali kama hili kimyakimya???

Chadema sio Mafisadi kama wewe
 
Kuna kitu hakijakaa sawa kwenye uteuzi huu wa mpendwa wetu Dr Slaa. CHADEMA kirekebisheni msije mkawapa ahueni CCM kwa kuweka pingamizi wao au kuwatumia watu wa aina ya Mrema, Mziray wa APPT Maendeleo, Mtikila wa DP,.....
 
jamani mbona mnazunguka mbuyu?
nimeuliza nieleweshwe. nisaidieni utaratibu wa chadema unasemaje na kama ulifuatwa sawasawa? basi sitaki zaidi.


Umeshajibiwa alipitishwa kwa mujibu wa chadema,unataka nini tena? we cha kuuliza ATACHUKUWA SAA NGAPI HIZO FORM NEC? sio kuhoji kama utaratibu ulifuatwa,we yanakuhusu nini? SUBIRI UONE KAMA NEC WAKIGOMA KUMPA FORM NDO UHOJI KAMA UTARATIBU ULIFUATWA AMA LA....!
 
Umeshajibiwa alipitishwa kwa mujibu wa chadema,unataka nini tena? we cha kuuliza ATACHUKUWA SAA NGAPI HIZO FORM NEC? sio kuhoji kama utaratibu ulifuatwa,we yanakuhusu nini? SUBIRI UONE KAMA NEC WAKIGOMA KUMPA FORM NDO UHOJI KAMA UTARATIBU ULIFUATWA AMA LA....!

Anachohoji Akili Kichwani kimo kwenye Katiba yao kwenye vifungu vifuatavyo:
7.7.10(c) na 7.7.13(a)
 
Kuna kitu hakijakaa sawa kwenye uteuzi huu wa mpendwa wetu Dr Slaa. CHADEMA kirekebisheni msije mkawapa ahueni CCM kwa kuweka pingamizi wao au kuwatumia watu wa aina ya Mrema, Mziray wa APPT Maendeleo.....

nakushukuru sana mzee anagalau wewe umeona kitu.... najua ukipenda sana hata chongo utaona kengeza, ni makosa makubwa sana kuruhusu vidosari vidogovidogo hata kama hakuna pingamizi ndani ya chama, lakini vinaweza kutumiwa na wapinzani wa chadema kwenye kampeni, kumbuka chama hiki kinazongwa na uzushi wa aina nyingi kama ukabila, sasa udini na tena mnataka kuongeza udikteta wa kamatikuu!!

jamani siasa zina mbinu nyingi..... bado sijaridhika na majibu, ina maana pamoja na chadema kushabikiwa sana hapa jamvini, hakuna mtu anayejua utaratibu wa kumteua mgombea uais ndani ya chama unasemaje? ni ajabu na kweli!!

bado nasubiri anayejua utaratibu ukoje anisaidie....
 
Back
Top Bottom