Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

JF imevamiwa na madaktari.........halafu wanatoa vi-argument mbuzi mbuzi.....eti tulisoma udaktari miaka mingi, na therefore tulipwe zaidi....eti ili kutoa motisha kwa wengine wasome fani hiyo......duuuhh!
 
mkuu samahan 900,000 waringe hiyo ni kabla ya kodi -680,000 kwa matumiz
 
Naona mwanzisha mada ni mwl, tena wa shule ya msingi, walim wote na polisi ni form 4 faluires.
 
Madakatari wa Tanzania kwani kulikuwa hakuna njia ingine ya kuigomea serikali iwasikiliza madai yao kuliko kutumia mbinu za kigaidi watu wasiokuwa na hatia wapoteze maisha ili maslahi yao yatimizwe.

Kisa wao ni watu wenye akili sana kuzidi wengine.
 
Madakatari wa Tanzania kwani kulikuwa hakuna njia ingine ya kuigomea serikali iwasikiliza madai yao kuliko kutumia mbinu za kigaidi watu wasiokuwa na hatia wapoteze maisha ili maslahi yao yatimizwe.

Kisa wao ni watu wenye akili sana kuzidi wengine.

Na Wasijidanganye kwa hilo...........
 

Mkuu, mimi nafikiri kila mtu ana mawazo yake, na pia usifiikri kuwa mawazo yako na mtazamo wako na itikadi zako ndo sahihi na kila mtu atakubaliana na wewe, hayo ndo maisha, hata uklienda wapi. Kumbuka hilo!
 
JF imevamiwa na madaktari.........halafu wanatoa vi-argument mbuzi mbuzi.....eti tulisoma udaktari miaka mingi, na therefore tulipwe zaidi....eti ili kutoa motisha kwa wengine wasome fani hiyo......duuuhh!
vipi na wewe umefanyiwa usaili wa kusimamia Sensa?
 
Madakatari wa Tanzania kwani kulikuwa hakuna njia ingine ya kuigomea serikali iwasikiliza madai yao kuliko kutumia mbinu za kigaidi watu wasiokuwa na hatia wapoteze maisha ili maslahi yao yatimizwe.

Kisa wao ni watu wenye akili sana kuzidi wengine.
hebu washauri wewe kama njia gani mkuu? na siyo kusema tu wangetumia njia nyingine ,semeni zipi hizo maana wabongo kazi yenu kulalamika tu na kulaumu tu vitendo hakuna.
 
Unataka kutwambia kwamba. Watu wote sawa? Mbona baba yako huwa hawi na msafara kama wa kikwete anaposafiri?
 
hebu washauri wewe kama njia gani mkuu? na siyo kusema tu wangetumia njia nyingine ,semeni zipi hizo maana wabongo kazi yenu kulalamika tu na kulaumu tu vitendo hakuna.

Hawashauriki hawa madaktari kwanza watakuambia wao wameangaika sana kwenye masomo yao.
 
Nilifikiri baada ya kumwona kova anadanganya ungejifunza kwamba yote alosema raisi wako kuhusu na madaktari kuhusu mishahara yao kwamba ni uongo tu sawa na wa huyu mkenya. Ni nini kinachokufanya uulize swali kama hili ikiwa unajua kwamba serikali yako ni waongo tena waliokubuhu hawana hata simile. Kama bado una mawazo haya jaribu kufikiria zaidi ya hapo, utapata ukweli, kama una lako jambo siyo juu yetu kukuelimisha
 
Sentesi inajitosheleza na ndio maana serikali inapigana nao...Ofcoz ni wa muhimu as they rescue our lives let them be valued as well...
 
nakuombea ili akili yako wewe mleta mada hii ufunguke ufahamu wako mapema,maana watu kama nyie ndo mnaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii,hivi umeangalia hizo picha ulizowekewa hapo juu kweli wewe maisha hayo siutakufa mapema kwa sababu ya mazingira hayo,tatizo lako wewe hutibiwi huko ndo maana unabwabwaja,chunga mdomo wako iko cku maneno yako yatakuhukumu
 
LA KUACHA WALIPA KODI WAFE?.....HAPANA!!!!! vifaa tiba havipo tunakubali, lakini uwepo tu wa daktari maeneo yale mgonjwa angalau ana kuwa na matumaini fulani. Chonde madaktari rudisheni mioyo nyuma ili mtuhudumie wagonjwa. hii serikali tuachieni sisi tuitie discpline kwenye ballot box 2015. MUNGU AWABARIKI SANA
 

So soft touches, eti walimu wakilipwa sana watoto hawatapa motisha ya kusoma udaktari ndo nini ulichosema? unajielewa kweli? kwamba madaktari walipwe sana ili tu watu wapate motisha ya kusoma hiyo course, na vipi mwalimu akilipwa kidogo na watu wakose motisha ya kusoma ualimu hao waalimu wa kuwafundisha madr watatoka wapi? Hapo ndipo tunarudi pale pale kwamba kuna watu mnaamini udaktari ndo kazi ya muhimu kuliko zote nchini na hivyo wanaweza fanya chochote kile na kitimizwe kwa muda watakao. Wabongo wengi mnashadadia migomo ya madaktari bila kujua mantiki ya hawa madaktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…