Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
POLISI
WANAJESHI
WALIMU Nk
Watanganyika tutadaganywa hadi lini? Hoja ya madaktari ni vifaa tiba, na hii ndiyo maana ya mazingira mazuri ya utendaji kazi kwao. na hii ni kwa manufaa yako wewe mtanganyika. Je! wajua kama vitendea kazi kwa wanajeshi na polisi vipo kwa ziada? Je! wajua kama Risasi vituoni ni nyingi kuliko Chlorokwini zilizo kwenye hospitali na zahanati zote nchini? Je! wajua kama hata kama kila askali akigawiwa bunduki mbilimbili, na nyingine zitabaki?
FIKIRI, Unaonaje kama askari nao wangetumwa vitani wakati vifaa havitoshi, je! wangeenda tu kwa kuwa ni amri, au na wao wangegoma??????????
Walimu, wako katika mgomo tangu nao walipo ishiwa chaki. hii ndiyo maana tuna wanafunzi waliofaulu mitihani yao na kwenda sekondari wakati hawajui kusoma wala kuandika.
"PANUA WIGO WA FIKRA"
 
hapa madaktari hawawezi na watakimbia tu kuwaachia JWTZ
Kwa hiyo Dr sii lolote wao wangekaa pembeni wapo wenye moyo hata huko JW wapo MUNGU atatusaidia MGOMO sinema yake imeisha, tusianze kutafuta mshindi. Stearling hauawi

Ungekuwa una akili angalau kidogo usingefanya ulinganifu wa kijinga namna hii. Haya si maisha ya kila siku bali ni matokeo tu ya siasa mbovu kama hii inayofanywa na serikali yetu kiasi mwenye shughuli ya maana analipwa laki 7 na Lusinde na Nchemba wanalipwa Mil. 7.

Na kwa kukusaidia tu, huo msafara utakapotia nanga, madaktari ni heka heka. Kipindupindu, kuhara damu, kikohozi, malaria na kila aina ya magonjwa vimeambatana na msafara huo uliouweka hapa ukidhani una point. Kwa hiyo acha ujinga wa kulinganisha madaktari ambao ni sehemu ya maisha yako ya kila siku na askari ambao wanamuua Ulimboka
 
Madaktari sio bora kabisa, ambao ni bora ni JK,PINDA,RITZ, REJAO,KOVA,MAMA POROJO,MAUNDUMULA, JACK ZOCKA, DR.KUPENG'E(huyu cjui udr. ni kama wa JK), MSANGI,TUME YA KATIBA,RAISI WA MIGOMO, LE MUTUZ,NAPE, MAFILILI,NCHEMBA, WAKUZIBA and the like, lakini sio ma Dr.
 
Hebu soma story kama hii utafakari, utaelewa ni kwa nini mambo haya yanatokea. Na huu ndiyo ukweli wa kazi yao kila siku:




Daktari, " sister tuwe tunafanya urine Dipstick kuangalia urine protein kwa huyu mgonjwa kila siku"

Nurse, "Daktari hizo ziliisha mwezi sasa labda tukaazime kwenye wodi xx"

Daktari, " BP ya huyu mgonjwa ni 160/100 anapata dawa huyu??"
...
Nurse, "Kila mara pharmacy wanaandika o/s kwenye prescription"

Daktari, " wapatie ndugu wakanunue basi"

Daktari, "watu wa xray wanasemaje??"

Nurse, " wanasema film zimeisha mpaka ziletwe"

Daktari, " nataka kucheck RBG ya huyu mgonjwa"

Nurse, " mpaka nikaazime Glucometer yetu imeharibika mwezi sasa"

Daktari, " Dada nahitaji kukutibu ila hakuna dawa, kipimo cha picha ya kifua hakuna, kipimo cha mkojo hakuna, kipimo cha sukari hakuna kwa hiyo tusubiri mpaka vitakapopatikana ila kama unaweza kuwaambia nduguzo wakakugharimikie nje sawa"

Mgonjwa, " mimi sina hela na ndugu zangu hawana uwezo. Naomba unisaidie Daktari"

Hebu mshauri hapo daktari afanyaje mkuu ?

hlf huo uthamani wa binadamu unaupima kwa kutumia vigezo gani?
Yote nayakubali lakini kama kweli wana huruma basi wasiombe mshahara wa kutisha ili hizo hela zitumike kuboresha afya
 
binadamu wote ni sawa ila kwa kweli kila nikikumbuka risk ya maisha ya hawa waganga wetu natamani walipwe hata milioni 30. fikiria daktari kila siku yupo hatarini kuambukizwa HIV,KIFUA KIKUUU, HOMA YA INI, homa ya uti wa mgongo,MAFUA,,, NAKUMBUKA yule chief lab technologist wa uganda alivyokufa akiwa kijana na ugonjwa wa SARS Wakati akihudumia mgonjwa. tuache siasa jamani, watu kama madaktari wanatakiwa kuangaliwa kwa jicho la 3.
 
Na pombe waache!!!

Na hospitalo zao vichochoroni zifungwe.....

@PJN at Mtwara Gas City
 
Yote nayakubali lakini kama kweli wana huruma basi wasiombe mshahara wa kutisha ili hizo hela zitumike kuboresha afya
huruma yao ndiyo iliyowaponza wakasomea udaktari bila kujali ugumu wa shule ,urefu wa shule ,mazingira duni ya kufanyia kazi ,hatari ya kuambukizwa magonjwa hatari sana km vile ukimwi ,kifua kikuu ,ukoma ,homa ya ini ambayo hupelekea kansa ya ini n.k!
hebu na nyie waoneeni huruma hawa madaktari na familia zao kwa kuwaboreshea mazingira ya kazi na maslahi yao basi japo waone kuwa na wao mchango wao mkubwa katika mustakabali wa uhai wenu inathaminiwa.
 
Yote nayakubali lakini kama kweli wana huruma basi wasiombe mshahara wa kutisha ili hizo hela zitumike kuboresha afya
huruma yao ndiyo iliyowaponza wakasomea udaktari bila kujali ugumu wa shule ,urefu wa shule ,mazingira duni ya kufanyia kazi ,hatari ya kuambukizwa magonjwa hatari sana km vile ukimwi ,kifua kikuu ,ukoma ,homa ya ini ambayo hupelekea kansa ya ini n.k!
hebu na nyie waoneeni huruma hawa madaktari na familia zao kwa kuwaboreshea mazingira ya kazi na maslahi yao basi japo waone kuwa na wao mchango wao mkubwa katika mustakabali wa uhai wenu inathaminiwa.
 
Daktari kumbuka anasaini kifo chako na uhai wako wanatakiwa kuheshimiwa sana na kupewa haki zao

kusaini kifo siku hizi laki,!! Kulala wodini macho 20000. Tumeruhusiwa, ngoja nkanywe bia mie watakaokufa wataniongezea hela.
 
Hebu soma story kama hii utafakari, utaelewa ni kwa nini mambo haya yanatokea. Na huu ndiyo ukweli wa kazi yao kila siku:




Daktari, " sister tuwe tunafanya urine Dipstick kuangalia urine protein kwa huyu mgonjwa kila siku"

Nurse, "Daktari hizo ziliisha mwezi sasa labda tukaazime kwenye wodi xx"

Daktari, " BP ya huyu mgonjwa ni 160/100 anapata dawa huyu??"
...
Nurse, "Kila mara pharmacy wanaandika o/s kwenye prescription"

Daktari, " wapatie ndugu wakanunue basi"

Daktari, "watu wa xray wanasemaje??"

Nurse, " wanasema film zimeisha mpaka ziletwe"

Daktari, " nataka kucheck RBG ya huyu mgonjwa"

Nurse, " mpaka nikaazime Glucometer yetu imeharibika mwezi sasa"

Daktari, " Dada nahitaji kukutibu ila hakuna dawa, kipimo cha picha ya kifua hakuna, kipimo cha mkojo hakuna, kipimo cha sukari hakuna kwa hiyo tusubiri mpaka vitakapopatikana ila kama unaweza kuwaambia nduguzo wakakugharimikie nje sawa"

Mgonjwa, " mimi sina hela na ndugu zangu hawana uwezo. Naomba unisaidie Daktari"

Hebu mshauri hapo daktari afanyaje mkuu ?

hlf huo uthamani wa binadamu unaupima kwa kutumia vigezo gani?

Ha haaa, hii nimeipenda, hawezi kujibu!
 
Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
POLISI
WANAJESHI
WALIMU Nk
Daktari alipwe shs 10,000,000 halafu mwalimu aliyemfundisha alipwe laki nne??
Halafu wanatumia kisingizio cha huduma bora kudai mihela.
Hebu nisaidieni mawazo yenu

hujui madai yaliyopo unakurupuka utokako na thread za ajabu ajabu...weka thread kama hizi kule chit chat ambako unapost chochote bila uchunguzi.

Ila ukitaka kupost hapa fanya uchunguzi..!
 
madaktari sio bora kabisa, ambao ni bora ni jk,pinda,ritz, rejao,kova,mama porojo,maundumula, jack zocka, dr.kupeng'e(huyu cjui udr. Ni kama wa jk), msangi,tume ya katiba,raisi wa migomo, le mutuz,nape, mafilili,nchemba, wakuziba and the like, lakini sio ma dr.

the list of shame.
 
Hebu soma story kama hii utafakari, utaelewa ni kwa nini mambo haya yanatokea. Na huu ndiyo ukweli wa kazi yao kila siku:



Daktari, " sister tuwe tunafanya urine Dipstick kuangalia urine protein kwa huyu mgonjwa kila siku"

Nurse, "Daktari hizo ziliisha mwezi sasa labda tukaazime kwenye wodi xx"

Daktari, " BP ya huyu mgonjwa ni 160/100 anapata dawa huyu??"
...
Nurse, "Kila mara pharmacy wanaandika o/s kwenye prescription"

Daktari, " wapatie ndugu wakanunue basi"

Daktari, "watu wa xray wanasemaje??"

Nurse, " wanasema film zimeisha mpaka ziletwe"

Daktari, " nataka kucheck RBG ya huyu mgonjwa"

Nurse, " mpaka nikaazime Glucometer yetu imeharibika mwezi sasa"

Daktari, " Dada nahitaji kukutibu ila hakuna dawa, kipimo cha picha ya kifua hakuna, kipimo cha mkojo hakuna, kipimo cha sukari hakuna kwa hiyo tusubiri mpaka vitakapopatikana ila kama unaweza kuwaambia nduguzo wakakugharimikie nje sawa"

Mgonjwa, " mimi sina hela na ndugu zangu hawana uwezo. Naomba unisaidie Daktari"

Hebu mshauri hapo daktari afanyaje mkuu ?

hlf huo uthamani wa binadamu unaupima kwa kutumia vigezo gani?

Sioni mwenye upeo wa kujibu changamoto kama hizo, kutoka kundi la mleta mada na kampani yake, wanacho jua ni kukomaalia 3.5m wakati madai ya drs. ni zaidi ya 10.
 
Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
POLISI
WANAJESHI
WALIMU Nk
Daktari alipwe shs 10,000,000 halafu mwalimu aliyemfundisha alipwe laki nne??
Halafu wanatumia kisingizio cha huduma bora kudai mihela.
Hebu nisaidieni mawazo yenu
Masaburi wewe,unataka walipwe sh ngapi?wewe unakuja na li-ukimwi lako umwambukize wakati anakutibia sa hv unawaona hawana akili,nyambafu!!!Komba anayesinzia pamoja na wagonga meza huwaoni?Usinitafutia ban tafadhali.....ma......ko wewe.
 
Yote nayakubali lakini kama kweli wana huruma basi wasiombe mshahara wa kutisha ili hizo hela zitumike kuboresha afya
Wanaomba mshahara huo kwa sababu Tanzania tuna rasilimali nyingi zinazoliingizia taifa hili fedha nyingi lakini zinaishia kwa wachache, hivyo hicho kiwango cha mshahara wanachodai Madr. kinaweza kabisa kulipwa iwapo usimamizi mzuri wa fedha za serikali na rasilimali zetu. ukitaka kupata uchungu fuatilia kiwango cha madini kinacho kwenda nje na kiasi cha fedha zinazoingia serikalini na kiasi cha fedha zinazopotea kwa madini hayo.Mwisho kabisa ambaye hana huruma hapa ni serikali kwa kuweka vipaumbele kwa vitu ambavyo havimfikii mlengwa ambaye ni maskini mlala hoi kule vijijini.
 
Mbona rahisi tu mkuu, majadiliano, kama mwajiri anakomaa, unatafuta mwajiri mwingine. hujafungwa kufanya kazi serikalini tu!

Na mie nashangaa kwa nini wasnangangania serikalini tuu???
 
Back
Top Bottom