Hebu soma story kama hii utafakari, utaelewa ni kwa nini mambo haya yanatokea. Na huu ndiyo ukweli wa kazi yao kila siku:
Daktari, " sister tuwe tunafanya urine Dipstick kuangalia urine protein kwa huyu mgonjwa kila siku"
Nurse, "Daktari hizo ziliisha mwezi sasa labda tukaazime kwenye wodi xx"
Daktari, " BP ya huyu mgonjwa ni 160/100 anapata dawa huyu??"
...
Nurse, "Kila mara pharmacy wanaandika o/s kwenye prescription"
Daktari, " wapatie ndugu wakanunue basi"
Daktari, "watu wa xray wanasemaje??"
Nurse, " wanasema film zimeisha mpaka ziletwe"
Daktari, " nataka kucheck RBG ya huyu mgonjwa"
Nurse, " mpaka nikaazime Glucometer yetu imeharibika mwezi sasa"
Daktari, " Dada nahitaji kukutibu ila hakuna dawa, kipimo cha picha ya kifua hakuna, kipimo cha mkojo hakuna, kipimo cha sukari hakuna kwa hiyo tusubiri mpaka vitakapopatikana ila kama unaweza kuwaambia nduguzo wakakugharimikie nje sawa"
Mgonjwa, " mimi sina hela na ndugu zangu hawana uwezo. Naomba unisaidie Daktari"
Hebu mshauri hapo daktari afanyaje mkuu ?
hlf huo uthamani wa binadamu unaupima kwa kutumia vigezo gani?